Moussa21
Member
- Jun 3, 2015
- 52
- 16
hivi VETA mna matatizo gani??? Inawachukua mwaka mzima mpaka kutoa vyeti kwa wahitimu wenu. Hamuoni kama tunarudishana nyuma? Mtu anamaliza level 3 mwaka 2017 anasubili cheti mpaka 2019 kweli? Au Nyie mko nje ya wizara ya elimu mseme. au hamjapewa kipaumbele..