Mm jimefanikiwa kuroot cmu yngu swali ni je ninaruhusiwa ku unstall application niliotumia kuroot cmu yngu mi nimetumia kingroot na nikiunstall haitaleta matatizo yyte
Asa mapovu yoote hya kisa mwenzenu anatka kwenda sweden?loh wabongo mnaroho mbya ndo maana hamuendlei. Nenda tu kma unaweza kupata visa kule kuna kazi nying hasa kwa foreigners ilimrad tu uwe umesoma hata trade schools maana kule kazi nying ni za mikono na i.t
Asante kwa thread nzur sina uzoefu wowte ule but kwa jinsi nilivofuatilia kwa makin njia rahic ni 2 tu 1.kupata mwenza uko akualike 2.kwa njia ya masomo japo ni vry expensive labda upate sponsor nchi za kwenda kwanza ni canada,australia,ujeruman japo kodi yao ni kubwa kwa asia japan na south...
Yaan vijana wa west africa wapo karibu kila nchi wanatafuta maisha ni cc tu tumezubaa atlist wenzwtu kenya na uganda utawakuta weng wapo dubai hapa mtu akileta uzi anatka kwenda sehemu ya mbali kutafuta maisha wankuja wapuuz ambao hta hwajawah kwnda posta wala uko anaokotaka mwenzi kwenda...
Umeongea point ni wivu tu unasumbua hapa majizo ameleta ushindani kwenye radio cloufs wenyw wanamuogopa na nimependa jinc anavyojiyangaza na imvestment aliofnya hasa katika mapresnter na matangazo big up bro[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.