Jinsi ya kuroot simu za Android

Jinsi ya kuroot simu za Android

Yes n kingroot
aa65e6a4052a192f8433a55d3ef8fedc.jpg
ingia hapo juu kulia >setting>uninstall kingloot utaniambia
 
Tafuta ES Explorer. Ingia device>system>app then tafuta kingroot kisha click utaletewa options kadhaa we chagua uninstall.
Done
 
Nikienda katika Android version nikibonyeza inatokea hivi ni nini hii lollipop au katkit au...
Screenshot_2017-04-06-19-09-33.png
 
ASANTE NDUGU WACHA NLIFANYIE KAZ MM NATUMIA HUAWEI 520CJYI ROOTER IPI NZURI
 
Mm Nimesha root simu zaidi ya 10 lakini hazijawahi kupoteza imei pia hii mada ni ya mda mrefu kabla Android 6.0 6.1 haijatokea
Mkuu nimefuata process zote lakini Root chaker imekataa kuonyesha kama simu hailorooted nifanyaje ???
 
Mm jimefanikiwa kuroot cmu yngu swali ni je ninaruhusiwa ku unstall application niliotumia kuroot cmu yngu mi nimetumia kingroot na nikiunstall haitaleta matatizo yyte
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom