uludodi
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 576
- 915
Ulitumia ipi kingroot auHello
How to unroot Android phone
Msaada Tafadhali
Ulitumia ipi kingroot auHello
How to unroot Android phone
Msaada Tafadhali
Yes n kingrootUlitumia ipi kingroot au
Yes n kingroot
Nilisha unstall na cm bado IPO rootedingia hapo juu kulia >setting>uninstall kingloot utaniambia![]()
Mention the model and type please!Hello Tanzania i need ur. Help
V695 VodafoneMention the model and type please!
Eleza tatizo lake achana na issue ya rooting or other wiseMention the model and type please!
Tuelezee ku anroot mkuuKexh ntalet somo
Mkuu nimefuata process zote lakini Root chaker imekataa kuonyesha kama simu hailorooted nifanyaje ???Mm Nimesha root simu zaidi ya 10 lakini hazijawahi kupoteza imei pia hii mada ni ya mda mrefu kabla Android 6.0 6.1 haijatokea
KingRoot 4.0 haipo kwenye playstore yangu naeza download ingine?Nilisha unstall na cm bado IPO rooted
HapanaMm jimefanikiwa kuroot cmu yngu swali ni je ninaruhusiwa ku unstall application niliotumia kuroot cmu yngu mi nimetumia kingroot na nikiunstall haitaleta matatizo yyte
Ipo Google pakua hukoKingRoot 4.0 haipo kwenye playstore yangu naeza download ingine?