Recent content by Mountainmover

  1. M

    JamiiForums Tanzania Jilinde usichomwe na mfupa wa samaki na nyoka

    Katani mwiba wake unawasha tu ila hauna madhara.
  2. M

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Wakenya wadai Olduvai Gorge ipo Kenya!

    Tanzania ni nchi iliyotolewa macho sana na kutamaniwa na hawa majirani zetu. Waganda tulipigana nao vita kwa sababu ya kuitamani ardhi yetu. Kagame kumsema Kikwete kipindi kile kuwa hajui kuiongoza nchi hii yenye rasilimali nyingi. Watu wa Malawi wanataka ziwa Nyasa lote liwe lao. Sisi tuishie...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Mange kwa Wema Sepetu, Idris ageuka mbogo amjia juu

    Mange kimavi. Yani huyu ndo alitaka kugombea ubunge!? Uu ndo ujinga anaoendekeza.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Joyce Kiria na akaunti yake ya Facebook

    Huna point hapa. Nenda akakuoe wewe bas kama unaona Joyce hamfai.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Joyce Kiria na akaunti yake ya Facebook

    Wewe ni mshamba kweli. Ndoa ya mtu usiingilie. Ndoa inapaswa kuwa ndio kitu cha kwanza ndo ifuate chadema sijui ukawa. Kama wewe uko radhi kumuacha mkeo kisa chadema basi nenda kanisani kafunge ndoa na chama. Masuala ya nyumba ya mtu yanakuhusu nin? Huna point ya msingi wala nini. Alipofungwa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi Algeria wacheleweshewa mikopo na Bodi ya Mikopo Tanzania

    Nani amjuae Mkurugenzi wa bodi ya mikopo? Amwambie kuna vijana Wakitanzania wanaosoma Algeria wana hali ngumu sana kwa kucheleweshewa mikopo yao. Si vyema kuwapa shida watoto wetu kiasi hiki ilihali kampeni zinaendeshwa kwa mamilioni ya fedha. Hata Magufuli alisema anashangaa kuona wanafunzi...
  7. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO wamekata Umeme sehemu kubwa ya Nchi ya Tanzania, leo 29th Aug 2015

    Tegeta umeme hamna
  8. M

    JamiiForums Tanzania SONGEA: Maandamano yameanza upyaaa, mabomu yanarindima!

    tehteh eti kuna mkono wa siasa!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Cousin wangu ananipenda

    Incest
  10. M

    JamiiForums Tanzania Horny Rooster...

    bwahahahah!
  11. M

    JamiiForums Tanzania Between your legs!

    SALT between your legs
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge wakomaa: Ngeleja, Jairo watakiwa kuondoka; Pinda ataka mjadala uahirishwe kwa siku 21

    Pia naomba niulize kuwa je hatuna sheria ambayo itaweza kumsota rumande, huyu Jairo aliesaini barua ya kuwezesha utoaji wa rushwa ili bajeti yao dhaifu ipite, kwa muda ambao uchunguzi wa kashfa hii unafanyika?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge wakomaa: Ngeleja, Jairo watakiwa kuondoka; Pinda ataka mjadala uahirishwe kwa siku 21

    Ni wakati mzuri kwa waziri Ngeleja kung'atuka kwani ameonesha wazi hana umakini katika kazi ya kusimamia na kuiongoza wizara nyeti kama ile.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Suala la epa pia kufikishwa kwenye mikono ya sheria wachochezi wa vurugu tarime

    Ni kawaida jwa waliolishwa limbwata na CCM kutofikiri kabla ya kutema pumba zao kama viongozi wao walivyo.
Back
Top Bottom