Mountainmover
Member
- Nov 9, 2010
- 46
- 9
Nani amjuae Mkurugenzi wa bodi ya mikopo? Amwambie kuna vijana Wakitanzania wanaosoma Algeria wana hali ngumu sana kwa kucheleweshewa mikopo yao. Si vyema kuwapa shida watoto wetu kiasi hiki ilihali kampeni zinaendeshwa kwa mamilioni ya fedha.
Hata Magufuli alisema anashangaa kuona wanafunzi kucheleweshewa mikopo. Sasa na sisi tunashangaa pia nani wa kuchukua hatua? Lowassa alisema Bungeni viongozi wanalalamika, Wananchi wanalalamika, Nchi haiwezi kuwa ya walalamikaji lazima awepo mtu wa kufanya maamuzi.
Watu wa bodi fanyeni maamuzi.
Hata Magufuli alisema anashangaa kuona wanafunzi kucheleweshewa mikopo. Sasa na sisi tunashangaa pia nani wa kuchukua hatua? Lowassa alisema Bungeni viongozi wanalalamika, Wananchi wanalalamika, Nchi haiwezi kuwa ya walalamikaji lazima awepo mtu wa kufanya maamuzi.
Watu wa bodi fanyeni maamuzi.