Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,819
- 156,962
Wote wabishi tu, hakuna kati yetu aliyetafiti sumu ya nyoka bali mmesoma machapisho tu.Acha ubish mkuu
Wote wabishi tu, hakuna kati yetu aliyetafiti sumu ya nyoka bali mmesoma machapisho tu.Acha ubish mkuu
MsingidarWewe ni mwarusha?
Alafu mnakuja lalamika hamna connection...kumbe mnakaa kunywa komoni😀😀
Hata mi nimeshangaa mkuu!
Stori za kwenye pombe bhna!Wakuu tupo katika club Cha pombe hapa tunapiga stori na wananchi wenzangu mdau mmoja kasema kwamba nyoka akifa ule uti wa mgongo ukibaki ardhini halafu ukachomwa Basi jua umepata majanga Kwani huo mfupa hauonekani kirahisi unaenda mbele haunaga reverse unaenda mpaka kwenye moyo ukikaa vibaya na pia Kuna uwezekano ukapata kansa kubwa..
Na mfupa wa samaki nako na wenyewe sio mzuri hasa ukikuchoma nafuu ukukabe katika shingo.mwiba mwingine hatari Ni wa katani.
We jamaa acha hizoKuna siku nulishuhudia mabishano kilabuni!!! Nusu ya wanywaji walidai Nguruwe hana utumbo nusu nyingine wakasema Nguruwe ana utumbo !!
Mimi ndiio nilionekana msomi kwenye lile kundi!! Nikaulizwa !! Aise eti!??/mtaalamu twambie Nguruwe anautumbo!??
Daah!!! Sasa aliyeniuliza ni mtu wa heshima sana na ndie aliyekuwa boss( yan mnunuaji mkuu) na alikua upande wa nguruwe hana utumbo!!!
Aisee ilibidi nimsapoti kuwa Nguruwe hana utumbo!!!! Baada ya muda mfupi nikaondoka kabisa lile eneo!!!
Siwahi tena kwenda pale kilabuni!!!
Ogopa sana stori za walevi
Mambo ya bar mengi kambaWakuu tupo katika club Cha pombe hapa tunapiga stori na wananchi wenzangu mdau mmoja kasema kwamba nyoka akifa ule uti wa mgongo ukibaki ardhini halafu ukachomwa Basi jua umepata majanga Kwani huo mfupa hauonekani kirahisi unaenda mbele haunaga reverse unaenda mpaka kwenye moyo ukikaa vibaya na pia Kuna uwezekano ukapata kansa kubwa..
Na mfupa wa samaki nako na wenyewe sio mzuri hasa ukikuchoma nafuu ukukabe katika shingo.mwiba mwingine hatari Ni wa katani.
Mnakunywa pombe gani
Unaufahamu mwiba wa mtende? Usiombe ukutoboe mahali.Mimi hakuna mwiba ninaouogopa kama wa katani. Ule mwiba nikiuangalia tu hua mwili unanisisimka hasa baada ya kuhadithiwa kwamba watu wengi waliofanya kazi kwenye mashamba ya mikonge walitoka wakiwa chongo!