Recent content by moudyjr

  1. moudyjr

    Mbinu za Kuepuka Utapeli Wakati wa Manunuzi Mtandaoni

    mimi yalinikuta kwa kweli niliagiza simu kupitia Alibaba feki, nilichoambulia cha matumaini ni Tracking number feki ya DHL ya kuulizia mzigo ambao hadi leo ni kitendawili. Nilipoteza 175 $. Ingawa bado naendelea kuagizia bidhaa mara kwa mara lakini kwa sasa natumia mfumo wao wa ndani wa malipo...
  2. moudyjr

    Wataalamu wa Kiingereza njooni tusugue kichwa kidogo hapa

    hii inawezekana kama amezaliwa upya katika buana!
  3. moudyjr

    Car for sale

    FUSO CANTER LA KIBABE HILO PRICE: TSHS. 21MILLION. NIPIGIE TUYAJENGE CHAP CHAP 0715722673 0786722673 Karibu sana boss, nipe details zako nikutumie Invoice uniungishe
  4. moudyjr

    Car for sale

    Toyota Passo (2006) Model Price: 9.5 million maongezi yapo Nipigie tuyajenge: 0715722673/0786722673
  5. moudyjr

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Leonel Messi aanika wachezaji nyota aliowahi kubadilishana nao jezi (swap) uwanjani; yupo Henry na Raul Gonzalez! - Tanzania Mpya Matukio
  6. moudyjr

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    huyu katembea miles 1,500 kumuona Terry uwanjani: Picha 27: Ona "Legends" walivyoshuhudia Safari ya Ubingwa Chealsea.. - TANZANIA MPYA MATUKIO
  7. moudyjr

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Video: Chelsea ilipojisafishia njia UP Premier League baada ya kuibugiza Middlesbrough 3 -0 - TANZANIA MPYA MATUKIO
  8. moudyjr

    Bunge latoa milioni 100 rambirambi kwa familia za wanafunzi Arusha

    Kutoka Dodoma: Spika amewahoji Wabunge kuhusu pendekezo la kutoa posho ya siku moja ya kila Mbunge kama 'rambi-rambi' kwa familia zilizopoteza wao Arusha... wote wasema ndiyooooooooooo!! - TANZANIA MPYA MATUKIO
  9. moudyjr

    Benki Kuu ya Tanzania (BOT) yaifutia leseni benki ya FBME

    Breaking News: Benki ya FBME 'majanga'... yatangazwa muflisi, yafutiwa leseni zote: BOT yaiweka chini ya muflisi ya Bodi ya Bima ya Amana(DIB) !! - TANZANIA MPYA MATUKIO
  10. moudyjr

    Makapuku Forum

    Mornings; tuanze na headlines maana tumeambiwa tusifungue ndani: #Magazetini leo 6/05/2017 Soma yote Udaku to Hardnews - TANZANIA MPYA MATUKIO
  11. moudyjr

    Kero ya foleni TAZARA: Je ni askari wa barabarani kushindwa kuongoza magari?

    Mwandishi wa makala hii alikuwa maeneo ya TAZARA kufanya Uchunguzi wa uhusiano wa ujenzi wa flyover na foleni amekuta havina uhusiano tuendelee kujadi sababu
  12. moudyjr

    Kero ya foleni TAZARA: Je ni askari wa barabarani kushindwa kuongoza magari?

    Tuchangie hoja bila matusi wala jazba nimeitoa sehemu: #Foleni kubwa ya magari TAZARA: Je ni askari wa barabarani kushindwa kuongoza magari ? Wananchi wahofia kupoteza 'vibarua'vyao. ======= Ni takribani siku tatu sasa kumetokea foreni kubwaya magari kuliko wakati mwingine iliyowahi kutokea...
  13. moudyjr

    Makapuku Forum

    Nimeona tusome hii enyi 'makapuku' wenzangu: #Foleni kubwa ya magari TAZARA: Je ni askari wa barabarani kushindwa kuongoza magari ? Wananchi wahofia kupoteza 'vibarua'vyao... anaandika Amani Msyahilia wa Quality Opportunity Blog. - TANZANIA MPYA MATUKIO
  14. moudyjr

    Makapuku Forum

    soma magazeti mengi ya leo hapa: https://goo.gl/photos/j7S4xK4dqbnPV5DG6 For more tembelea www.tanzaniampyamatukio.blogspot.com
  15. moudyjr

    Makapuku Forum

    Just good purpose ya kujuzana yanayojiri magazetini E.A and around the globe, hapa nakuekea The Star https://goo.gl/photos/ALQgUvzQsweztpWU7
Back
Top Bottom