Recent content by MOSSAD JACOB

  1. M

    Dk. Tizeba, utaweza kufanya kazi na Magufuli aliyekufukuza pale Mwanza City Council!?

    Tatizo lako ndugu haujui kumtambua adui.Chanzo ni mheshimawa Pinda Mizengo ambaye alipata pesa ya chai ambapo Mansoor anasema siyo rushwa. Na mpaka akawa anafanyiwa mpango wa kuchukua uwanja wa nyamagana ajenge hotel na ndipo dili likagoma then akapewa soko la samaki so ramani za viwanja...
  2. M

    Hapa Mwanza hii ni kero!

    KWANI PESA ZA BENK YA DUNIA MMESHA ULIZIA ZIMEFANYA KAZI GANI?ok ofisi ya wenje ipo nendeni mfikishe malalamiko na siyo muongee kama watawaliwa bali zungumzeni kama watawala maana nyie ndio walipa kodi wa jiji na lazima zitumike kwanza kwenye vitu vya msingi.
  3. M

    Takukuru nini tatizo kila siku mnashindwa?

    Pole wewe mwenye wivu na maendeleo ya watanzania watu kama nyinyi mnastahili mtubu mpate busara.Hao PCCB/TISS wanakula kodi ya kikwete au ya watanzania?
  4. M

    Majibu ya Kigwangalla: Kwa Nini Sikusaini Hoja ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (MB)!

    jamani mwacheni bado anapractise colonialism politics..akifirisika ndiyo atajua au akajaribu kuishi maisha ya kimaskini jimboni kwa pinda for one week afu alete report hapa jamvini.
  5. M

    Huu ni uhaini na uchochezi wa CHADEMA

    Wacha wafanye uchochezi kwa sababu Tanzania hakuna serikali.Utaniuliza kwanini? Kwa sababu hata mafisadi wanachukua chao mapema na kama kuna dola haya yangetokea? Utashi wetu ndio unatufanya tuwekama tunaserikali kwa sababu tunaheshimiana na kuthaminiana lakini kuna wachache wenye mawazo ya...
  6. M

    Kwa Wapenda maendeleo Kutoka Jimbo la Busega (CHADEMA)

    ndugu mbona nampango wa kwenda pambana na bwana mapesa .mwezi wa 9 tutakuwa tunafanya uzinduzi wa nguvu ya umma.
  7. M

    Zitto alipuka tena bungeni

    Hvyo.o.o
  8. M

    Kazi ya Vice Prezdaa ni nini?

    jamani kaacheni kapumzike maana ni kazee sana ila kali badili miaka kipindi kana kwenda marekani kusudi kasikose scholarship cozo kamezaliwa 1936 na kanasema eti 1942.Maana mie babu yangu anamiaka 80..mawazo yake ni primitive afu siunakumbuka enzi hizo wazungu ndio walikuwa wanakata utepe sasa...
  9. M

    Asha Rose Migiro achukue nafasi ya Pinda

    MADUDU ALIYOFANYA UN NA NDANI YA TZ MNATAKA AYAFANYE?kweli hamjipendi hata katika simply logic mbona hawajampa kuendelea na contract nyingine.Hata mwehu atajibu hili.
  10. M

    Hawa wanafaa uwaziri mkuu Pinda akianguka...

    Kataka alama kuna good,better na best sasa yeye ni better.kama hamtaki subiri mpewe full kilaza kama bwana vasco da gama .sitta hafai ni zaidi ya mnafiki na anajitafutia umaarufu maana yeye ni bendera na mpayukaji na siyo mtendaji.ameshindwa kudhibiti ufujaji wa fedha jimboni kwake huku...
  11. M

    Jamani hii ndiyo hali hilsi!!!!!!!

    kuwa na evidenci za kutosha acha ubabahishaji piga picha hiyo nyumba.mwana harakati haogopi kutaja...funguka ndugu mali ya watz
  12. M

    Je, Rais aliona Ripoti ya CAG kabla ya safari ya Brazil?

    MWANZA HATA HASISUBUTU MAANA HATUDANGANYIKI. NATUNAKA nguvu ya umma kuwa ng'oa .Spika,hosea ,pinda,
  13. M

    Ushauri: Chadema achaneni na ndoto za urais!

    CHADEMA SIYO WABUNGE BALI NI NGUVU YA WANANCHI.waache ccm wapinge lakini Maandamano yetu yapo palepale.Hao mawaziri kumi na tisa hatuwataki.kazi kwa J.k.Hata libya yalianza hivi hivi.
Back
Top Bottom