PETER JOHN MLAY
Member
- Feb 16, 2012
- 27
- 13
Spika wa bunge ni msiba kwa taifa, afadhali mafisadi kumi kuliko kuendelea kumnyamazia mama huyu, hatua lazima zianzishwe mara moja kumshughulikia!
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Miongoni mwa maandiko magumu sana niliyowahi kusoma ni yale yanayosema
"Wapendeni Adui Zenu, Waombeeni Wanaowaudhi"
Jifunze kupenda hata unaowachukia akiwemo spika
Mwaga hizo data za Zitto hapa! Vinginevyo, wivu unakukereketa!
Kama kuna ukweli wa tuhuma za Zito, mbona hali inatisha?
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Nenda kafundishwe adabu, huwezi kumuita amiri jeshi mkuu Msanii