Bukutonaga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 246
- 46
Habari ndugu wana JF!
Napenda kuanzisha uzi huu kwa ajili ya kutengeneza system yetu mapema ni vizuri tukijuana ili kuweza kutengeneza system iliyoiva kama mnavyojua Jimbo letu lina challenge nyingi,Hivyo nimeona tuanze kutafutana ili kujua tuna vijana/wana Busega wangapi wenye mapenzi na chama.
Ni vizuri tukija na kitu kwa ajili ya kwenda sasa kwa wazee/wazazi na ndugu zetu ili jimbo letu tuliendeleze kama tunavyojua ukitaja maendeleo ktk nchi lazima uangalie pia kama CDM ipo maeneo unayotoka hapo tunaweza kutoka,Mimi napatikana Mwanza mjini na ni Eng. ktk mambo ya IT so as the time goes on tutakuwa na email ya wana-busega kila mtu atakuwa ana Post views zake kule.
Nawakilisha!
Napenda kuanzisha uzi huu kwa ajili ya kutengeneza system yetu mapema ni vizuri tukijuana ili kuweza kutengeneza system iliyoiva kama mnavyojua Jimbo letu lina challenge nyingi,Hivyo nimeona tuanze kutafutana ili kujua tuna vijana/wana Busega wangapi wenye mapenzi na chama.
Ni vizuri tukija na kitu kwa ajili ya kwenda sasa kwa wazee/wazazi na ndugu zetu ili jimbo letu tuliendeleze kama tunavyojua ukitaja maendeleo ktk nchi lazima uangalie pia kama CDM ipo maeneo unayotoka hapo tunaweza kutoka,Mimi napatikana Mwanza mjini na ni Eng. ktk mambo ya IT so as the time goes on tutakuwa na email ya wana-busega kila mtu atakuwa ana Post views zake kule.
Nawakilisha!