Asha Rose Migiro achukue nafasi ya Pinda

uyu mama hana uwezo hivi nyie mnadhani kwasababu mna viongozi wa hovyo sasa hii nchi imekua jamvi la kila mtu kujifunzia duh...
 
Kwanza lazima ateuliwe na prezdar kuwa mbunge,sasa nafasi 10 za prezdar si kazimaliza au?

Waziri Mkuu ni lazima kwanza awe Mbunge wa Kuchaguliwa kabla Rais kumteua na kumpendekeza kwa Bunge. Kwa hiyo hata kama Rais Kikwete ana nafasi ya kumteua Mbunge, hawezi kumteua huyu Mwanamama kuwa Waziri Mkuu. Labda kama atakiuka Ibara ya 51(2) ya Katiba ya JMT.
 
Rais ni Alhaj, makamu wake ni Alhaj na unataka na PM awe Hijjat

nahisi wako kwenye mbio zao za kutaka kutawala dunia. Ndo maana us wanawachapa wale wote wanaojifanya wana misimamo. Ukiongeza na rais wa znz, spika naye alizaa na hawa hawa ko ni wale wale,si tutalipuliwa nchi hii?
 
but Asha has done NOTHING substantial to qualify for any senior post in this poor country. We only see appointments, with unmeasurable results. We were in this same situation back in 2005. We should stop using faces, newspaper stories, wapambe stories, etc. and be more OBJECTIVE. A leader must have demonstrated leadership skills all along. She lacks.
 
Nadhan sasa niwakat muafaka kwa aliekua naibu wa katibu mkuu wa UN kutumikia taifa lake

Bora hata ya Pinda mara 100. Huyu Diplomatic hawezikufanya chochotete Unless useme U PM wa TAnzania kimekuwa cheo cha Ceremeonial basi anafaa.

Mama Tibaijuka mwenyewe hata hajulikani ana input gani pale ardhi tena huyuTibajukazamani alikuwa aikuwa historia kutaka mabadiiko sasa sembuse huyu Migiro.

Akiwa PM bado atadhani yeye ni Mwana diplomasia
 
Kwa uchungu nakumbuka mwaka 2005 kazi waliyofanya wapambe wa Jakaya Mrisho Kikwete hadi wengi wakashindwa kuutazama upande wa pili wa shilingi na sasa tunalia na kusaga meno. Tusikubali tena historia kama hiyo ijirudie!
 
Kwanza huyo Asha atueleze ni sababu zipi zimemfanya asiongezewe mkataba? Tetesi ni kwamba alifanya madudu sana huko UN? Je unataka na hapa hatufanyie madudu?
 
mtatuangamiza mkimweka huyu mama. huu uwaziri mkuu anyang'anywe Pinda apewe Mh. Magufuli

Embu acha hizo,Magufuli yupi huyo???ni yule aliyetuambia kule arumeru tusipoichagua ccm serikali haitaleta maendeleo au kuna mwingine mpya????angalia usikute anakuchanganya na uwezo wake wa kujua idadi ya samaki ziwa victoria.Huyu ni mbaguzi hafai hata kwa mchuzi,ni full gamba kwa ngozi ya mbuzi.Nyambafu kabisa tena ni ..........sana.
 
MADUDU ALIYOFANYA UN NA NDANI YA TZ MNATAKA AYAFANYE?kweli hamjipendi hata katika simply logic mbona hawajampa kuendelea na contract nyingine.Hata mwehu atajibu hili.
 
Hivi wewe unaechangia kuwa migiro awe waziri mkuu uko sawa ktk nazi yako. ona bi kiroboto anavyofanya uozo bungeni alafu unatoa maoni kama haya. tunataka vifaa vipya, hivi vya kuchakachua hazifai-chinese products (ccm)
 
Kama kameshindwa Unaibu Ukatibu mkuu UN, ataweza Uwaziri Mkuu? au mnataka kuleta Pinda mwingine kwa jinsia ya kike? Hatutaki watu wa ku-maintain quo status...!
 
hawezi kuwa na sifa ya kuwa waziri mkuu huyo mama,kwa kuwa alitakiwa awe mbunge wa kuchaguliwa na atoke chama chenye wabunge wengi,so kwa kesi ya kuchaguliwa yeye tayari kakosa sifa.alamsiki
 
Malafyale,

..Watumishi wa UN, pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa UN, ni international civil servant.

..kutokana na kiapo cha nafasi yake, Dr.Migiro anatakiwa atende haki kwa nchi zote wanachama wa UN, na katu asiipendelee nchi anayotoka.

..Dr.Migiro angeipendelea Tanzania ingepekelea kuchafuka kwa heshima na jina la nchi yetu ktk jumuiya ya kimataifa.

..sasa hivi kuna migogoro ya Palestina,Korean Peninsular,Darfur,Somalia,etc etc. Katibu Mkuu wa UN, Ban Ki Moon, anatakiwa kushughulikia migogoro yote hiyo kwa stahiki yake, bila kuupa priority zaidi mgogoro wa Korea Peninsular ambako anatokea.

..Hata kama UN imefanya jambo fulani hapa Tanzania, naamini itakuwa imefanya hivyo kwasababu suala hilo lipo ktk ajenda na mipango ya Katibu Mkuu Ban Ki Moon, na siyo kwasababu ya influence ya Dr.Migiro.

..Naibu Katibu Mkuu[Migiro] wa UN siku zote anafanya kazi kwa ridhaa na maelekezo ya Katibu Mkuu[Ban Ki Moon] wa UN.

NB:

..ili kustahili kushika nafasi yoyote hapa Tanzania, ktk mazingira tuliyonayo na tunakotaka kuelekea kama taifa, Dr.Migiro anapaswa kujipambanua kwamba anajiweka mbali kabisa na ufisadi na rushwa zilizoigubika CCM.
kumbuka mtoto wa nyoka ni nyoka tu!
 
Nadhan sasa niwakat muafaka kwa aliekua naibu wa katibu mkuu wa UN kutumikia taifa lake

On whAT grounds? Will that solve "UFISADI". CCM is the problem. Remember when Lowasa was forced to resign?? Now we are back to the same problem...which is corruption. Can you see a pattern here? When someone messes up, there is no accountability. Watu wamekalia kulindana tu.
 
sio sababu ya jinsia yake ni kwa sababu ya uwezo wake katika uongozi kama dunia imetambua uwezo wake na kumtumia sio sababu ya sisi kutomtumia

NITAJIE SIFA PEKEE ALIYOKUWANAYO TOFAUTI NA WENGINE(ccm) KABLA HAJAENDA UN.Maana hata mimi mkulima wa Pamba Kishapu(Shy) nikiwa well oriented naweza kuwa katibu mkuu UN.Tatizo hapa ni sisiem,watu wake na mfumo mzima wa chama
 
Back
Top Bottom