babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,243
vipi jamani hivi vitengo vyetu vya takukuru na usalama wataifa kushindwa kunusa harufu ya uhalifu ktk wizara zetu? kazi zao mbona ni kama hawapo na umuhimu wao haupo tena. mbona mkaguzi wa mahesabu amedhubutu na ameweza hawa wanashindwa nini au wajiuzulu pamoja na mawaziri? wanatuboa hawa