Wadau
Nimekuwa nikijiuliza baada ya kusoma na kusikia haya yote yanayoendelea Tanzania kuanzia kwa wabunge kucharuka na kuwataja mawaziri wezi, Mh Zitto kutoa hoja ya kupigwa kura za kutokuwa na imani na waziri mkuu na sasa tetesi za mawaziri nane kujiuzulu,
- je Mheshimiwa Rais aliiona hii ripoti ya CAG kabla ya safari yake ya Brazil?
- Kama aliiona alione ubadhilifu unaofanywa na Mawaziri wake ndani ya serikali yake?
- Kama aliona ubadhilifu au wizi huu alichukua hatua gani?
- Au na yeye alikuwa na mgao katika huu wizi unaoendelea nchini?
- Au yeye ni mwizi zaidi hivyo anaona aibu kuwaadhibu wezi wenzake?
Naomba mawazo yenu
Nimekuwa nikijiuliza baada ya kusoma na kusikia haya yote yanayoendelea Tanzania kuanzia kwa wabunge kucharuka na kuwataja mawaziri wezi, Mh Zitto kutoa hoja ya kupigwa kura za kutokuwa na imani na waziri mkuu na sasa tetesi za mawaziri nane kujiuzulu,
- je Mheshimiwa Rais aliiona hii ripoti ya CAG kabla ya safari yake ya Brazil?
- Kama aliiona alione ubadhilifu unaofanywa na Mawaziri wake ndani ya serikali yake?
- Kama aliona ubadhilifu au wizi huu alichukua hatua gani?
- Au na yeye alikuwa na mgao katika huu wizi unaoendelea nchini?
- Au yeye ni mwizi zaidi hivyo anaona aibu kuwaadhibu wezi wenzake?
Naomba mawazo yenu