kwanza hizi machine bei yake iko juu sana,no2 matajiri wakubwa nchi hii wanafanya biashara bure hakuna kodi yoyote wanayo toa zaidi ya danganya toto,kodi imebaki kwa wafanyanya biashara wadodowadogo mitaani hawa ndio wanahangaiswa,nadhani tatizo siyo hizo machine,tatizo ni ubovu wa serikali ya sasa.
hamna cha first date hapo,wanaume wengi aibu ndio inawatia shimoni mwanamke mwenye heshima zake hawezi kwenda kwa mwanaume na rafiki zake wakati anajuwa anakwenda kutongozwa,wewe ukiona hivyo fukuza wote siku nyingine atakuja kwako na heshima zake,akiona yamemshinda akatafute wanaume wanao penda...
juzi mimi nimemfukuza msichana mmoja hivi yeye na shoga yake,nimempigia simu aje tukutane akanijibu okay ntakuja na rafiki yangu nikamwambia hapana njoo peke yako tutakuwa na mazungumzo ya kimapenzi yani tunatongozana rafiki wa nini au unataka wasikiee jinsi ninavyo kutongoza,siku ya miadi...
hakuna kitu kinacho udhi kama kuona dume zima linalialia hapa eti mke wangu,wewe kama kweli ni mume wa kweli mke wako atakuheshimu na unauwezo wa kufunguwa sim yake ukaichunguza nini kiko ndani,unahaki ya kujuwa nana anamtumia sms na kutazama zinatoka wapi,mwanaume wa kweli hata siku moja mke...
juzi makinda kasema mishahara ya wabunge ni midogo,mwingine akasema uwekezaji ambao unaweza kufanywa na wazawa ni kuuza maji ya machungwa mitaani,mwingine akasema wanafunzi ambao hawajapata mikopo ya elimu ya juu warudi vijijini wakauze nyumba na mashamba yao wapate kusoma,hayo ni matamshi ya...
kitu cha kushanga kabisa wanaomba mpaka watu wasio wajuwa,huwezi kwenda kuomba mtu ambae mmekutana kwenye hii mitandao ya kijamii,mwisho watakuja omba mpaka majini kwa hizi tabiya zao za ajabu,sema upande mwingine inasaidia sana ukikutana na mwanamke wa namna hiyo mana unakuwa umemjuwa mapema...
candid wewe umesema kweli kabisa gharama zinaumiza sana, mimi hapa binafsi nimewahi kumvuwa msichana mmoja wa kinigeria mikufu kwa nguvu mchana kweupe watu wote wakishuhudia ndani ya mgahawa wa kfc huko dubai nashukuru mungu sikukamatwa kama ningekamatwa ningekuwa kifungoni mpaka sasa,yote hiyo...
hiyo ni kawaida inatokana na ukubwa wa nchi na wingi wa watu,qatar wananchi wake ndio wenye kipato kikubwa zaidi duniani,qatar na nchi za ulaya au america ipi zaidi,huo ni mfano2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.