Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,546
Watatumiana mbegu kwa bluetooth...
Watoto watapatikana ebay.
Watatumiana mbegu kwa bluetooth...
Mwache aje na revised version ya thread ili tupate story next time. Watu wameuziwa hadi picha za maghorofa ya Posta sembuse picha ya mwanamke. Halafu hiyo picha katumiwa makusudi, mtu mwenyewe wala hayupo hivyo, ameidownload kutoka faces.com., si anajua ushiboy ndio ugonjwa wake!
Kweli mkuu, hapoume think big
hivi hapo mzigo hujaonja upo hivo?
Je ukionja؟ukanogewa?
Ndo yale yale yakina ........
Nimdada mrembo wa haja na mwenye sura ya kuvutia, kwa mujibu wa picture ambazo amekua akinitumi.
Huyu dada tulikutana kwenye moja ya social net, tukapendana na kukubaliana kuwa wapenzi pindi nitakaporudi huko Tz.
Leo baada ya kutoka kibaruani tukaanza kuchat kamakawaida, chaajabu akanitumi massege ya kuahidi kufika mapema ilikua ina maneno ya mahaba yakiambatana na shukrani kwa penzi (makatiko) alopewa.
Nilipo muuliza kuhusu hiyo massege, amekaa kimya na nikimpigia cm hapoke.
Hadi nalileta kwenu wadau, nimekosa usingizi na sijui lakufanya.
Watoto watapatikana ebay.
Nimdada mrembo wa haja na mwenye sura ya kuvutia, kwa mujibu wa picture ambazo amekua akinitumi.
Huyu dada tulikutana kwenye moja ya social net, tukapendana na kukubaliana kuwa wapenzi pindi nitakaporudi huko Tz.
Leo baada ya kutoka kibaruani tukaanza kuchat kamakawaida, chaajabu akanitumi massege ya kuahidi kufika mapema ilikua ina maneno ya mahaba yakiambatana na shukrani kwa penzi (makatiko) alopewa.
Nilipo muuliza kuhusu hiyo massege, amekaa kimya na nikimpigia cm hapoke.
Hadi nalileta kwenu wadau, nimekosa usingizi na sijui lakufanya.
kwa hiyo Simplicity unataka kutuambia ushiboy ni kundi la wale wanaotusumbua online na maID feki kutafuta wapenzi wa kusexchatishana? (in Broken souls voice)
Hayo ndiyo madhara ya kutafutia wapenzi au wachumba kwenye net!!! Aisee, hivi unajua masuala ya photoshop??? Angalia picha na kubali kuwa binti ni mrembo!! Pole sana!!!! Bora umeipata hiyo sms mapema sana!!! Hivi unajua yuko hapa Tz akikusubiri wewe? Sana sana kama ingetokea uje huku ni kuwa angekuweka katika mizani kukulinganisha na njemba wake wengine!!! Mwombe Mungu akupe mke wa ubavu wako, hao wa social network si wote genuine!!! Itakula kwako!!