Usimgharamie kama hujamuoa

Usimgharamie kama hujamuoa

Hahahaaa madame B uneniua kweli Mtu wangu:-
1-wanaume wanaosomeshwa na wanawake.
Jibu ni:Kwa muda huu Hakuna aliyekuwa anasomeshwa ni yule 24 Vs 60 (Mbunge) yeye alishahitimu shule siku nyingiii.
2-twawanunulia mpaka boxer.
Jibu ni:Hiyo haijalishi kwani mimi nimenunuliwa mara ya mwisho 2010.
3-nakuja kula kwenu.
Ushauri:Kama kwao ni mbali unaweza kuja kwangu.

Mwisho.

Haiwezekani uwe na Gf a.k.a kasmall haus usikagaramie ,cost sharing its mandatory ishu ni kwamba kuwe na mipaka ya kiasi na aina ya msaada.Unaweza kumnunulia Vitu kama vile Simu (siyo Samsung )namaanisha tule tu-Nokia twa Tochi),Hela ya Saloon not exceeding 50,000/=,ya matumizi madogo not exceeding 100,000/=.

Mount Kibo, wewe ndo wasema.
1. Acha fiksi kuna wanaume mpaka leo bado wanasomeshwa.
2. Kama wewe umenunuliwa mwisho 2010, kuna wenzio mpaka kesho wananunuliwa.

Hayo ya small house ni lazima unigharamie.
Piga, Ua, galagaza Mount Kibo.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli hapo..mpe hela wengine wanamtafutia discussion za usiku..
 
life is biznes nothing is for free even this oxygen we are takin in is bcoz we are exchanging with plants believe this your parents didnt rise u for free they need u to pay through grandsons and daughters
 
Hahahaa
Jamanii is it necessary kunioa coz umenisaidia?
No ifike mahali tubadirike
Km unaamua kumsaidia mtu poa
Km vip muoe kabisa ili kuepusha presha
 
Unapomgharamia binti mkiwa ktk mahusiano u do it for love u hv for her. Sio necessary arudishe fadhila za uliomfanyia kwa kufunga ndoa. Jmn maisha haya ni mafupi na tunaishi mara moja dunian so do wat makes ua heart happy.
 
Me naona haya mambo yako overrated tu. Tatizo huwa tunaamini msaada ni Investment wakati ni kitu cha kutoa na kusahau
 
Kama ni wa kutoa misaada toa tu na kama huyo mwanamke ataona umuhimu wako atakuheshimu na atakuthamini tu na hatokukimbia ila kama ni kunguru mwoga we nenda zako tu.....
 
Binafsi kuna kabajaji kinanisumbua hapa but ni Mchumba wa mtu anamsomesha and anamgharamia kila kitu. Kila semester ikiisha anamlfuata dom kumrejesha dar and kumleta. akiwa certificate nilikula but nikajitoa baada ya jamaa kumchumbia alipoona namind kuhusu pete kamrudishia " kama pete yake inakuchoma ...." but wiki sasa kamleta dom kafikia kwangu na kaniahidi kampiga stop asimtembelee kabisa mpaka semester iishe.
Namhurumia kijamaa angejua anvyopondwa na huyu mtu am sure asingeoa. waacheni mabinti hamnazo.
 
poleni sana nyie mnao somesha hawa wanawake wa mijini,hizo pesa zenu kama hazina kazi bora mkatowe zaka makanisani na misikitini.
 
Back
Top Bottom