Recent content by mosha jimmy

  1. M

    I have no doubt, Dr Nchimbi will bounce back!

    Nchimbi yuko kwenye recycle bin ana nafac kwa kipind kijacho
  2. M

    Katibu wa CCM mkoa wa Iringa afariki dunia

    Nadhani kwa sasa anaolowa kichapo kutoka nyerere kwa kukiuka misinformation ya chama,pole sana wafiwa
  3. M

    Gazeti: 'CHADEMA yanuka damu'

    Chadema lazima waelewe wao ni tishio na adui namba moja kwa serikali, hasa kwa kipindi hiki tunapokaribia uchaguzi ni lazima chama hiki kiwe makini kuliko kipind chochote kile,kwasababu kimekua tishio kwa watawala,cku zote adui mwenye bunduki ukifanikiwa kumnyang'anya huokota mawe, na hapo ndipo...
  4. M

    Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara

    Great thinker discuss the issue, Average thinker discuss the events and smll thinker like mwigulu discuss other people
  5. M

    COASTER ya kukodi toka dar mpaka Bagamoyo

    Kisa umeenda jana ndo unataka kujua nauli c ungemuuliza dereva wako?
  6. M

    Mtikisiko CHADEMA: Harakati mpya zaibuka

    Hawa ni wale wa data star college, cshangai mm
  7. M

    Taarifa: Rais Kikwete aagiza bendera kupepea nusu mlingoti kwa siku tatu za maombolezo ya Kitaifa y

    R.V.P MY FARMER . Umepigana vita vilivyo vikali mwendo umeumaliza, imani umeilinda.nitaendelea kuenzi na kuiamini na kuisimamia kauli yako uliyowah kusema;(KURUDISHA MAPAMBANO NYUMA NI KOSA AMBALO KIZAZI KIJACHO HAKITA TUSAMEHE)
  8. M

    Angalizo kwa viongozi wa CHASO kutoa matamko kwenye sakata la Zitto na Mbowe

    Na nyie jamii forum mkae mkijua -------- co tuc desh ni za nn kwenye reply yangu?
  9. M

    Angalizo kwa viongozi wa CHASO kutoa matamko kwenye sakata la Zitto na Mbowe

    We ni -------- nahc hata kusoma kwako ni shida a.k.a mbulula, huu co ugomvi wa mbowe na Zitto bali ni Chadema na Zitto,
  10. M

    Angalizo kwa viongozi wa CHASO kutoa matamko kwenye sakata la Zitto na Mbowe

    Jay k kama acngekuwa mwanajeshi angekua mwimba taarabu
  11. M

    Clouds Wanadhalilisha Taasisi ya Urais

    Jay k kama acngekuwa mwanajeshi angekua mwimba taarabu
  12. M

    Kulinda heshima yake, Mbowe asigombee uchaguzi wa ndani ya chama

    Cwez mchukia Zitto huyu jamaa namkubal xna kwenye baadh ya mambo lakini cwez pinga maamuz ya chama kahukumiwa kutokana na makosa yake na kwa hli adhabu aliyoipata ni haki yake kabxa.nazd kucctiza busara itumike kumwachia uanachama hua binadam anabadilika na atajifunza kutokana na makosa yake na...
  13. M

    Kulinda heshima yake, Mbowe asigombee uchaguzi wa ndani ya chama

    Wewe ndo unafaa?mbona hujasema nani wanafaa?
  14. M

    Kulinda heshima yake, Mbowe asigombee uchaguzi wa ndani ya chama

    Hakuna mwanachama aliyenyimwa kugombea wenyekiti waje na sera zao wapiga kura wapime na mwisho tumpate mwenyekiti anaetufaa, mtu mwenye akili na uwezo wa kusoma kufatilia na kuchambua Mambo hawez muhusisha Mbowe na tuhuma za Zitto, wao waliandaa waraka wa ushindi lakini na Co dhambi kuandaa...
Back
Top Bottom