Gazeti: 'CHADEMA yanuka damu'

Gazeti: 'CHADEMA yanuka damu'

Chadema lazima waelewe wao ni tishio na adui namba moja kwa serikali, hasa kwa kipindi hiki tunapokaribia uchaguzi ni lazima chama hiki kiwe makini kuliko kipind chochote kile,kwasababu kimekua tishio kwa watawala,cku zote adui mwenye bunduki ukifanikiwa kumnyang'anya huokota mawe, na hapo ndipo walipofikia ccm,nadhani mliona jana mwigulu kuja na personal issue za mwenyekiti wa Chadema, Je watu wakiamua kuja na personal issue za mwenyekiti wake c aibu? Walimwaga mboga jana najua na ninaamini ugali utamwagwa cku yeyote na c mwingine ni kaka wa uoga dhambi, c busara kufanya hvyo lakini, lakini hata kwenye mchezo wa masumbwi wote huwa wanavaa gloves mmoja akivua na mwenzake inabidi avue,HUWEZ KUZIMA VITA INAYOTAFUTA HAKI
 
Tumeshayazoea magazeti ya hivyo, unaweza kuta mmiliki wa hilo gazeti ni mwiguru unategemea nini kutoka kwa hilo gazeti?
 
Idadi ya Watanzania wenye uelewa mdogo ilikuwa kubwa sana wakati nchi ikipata uhuru mwaka 1961. Pamoja na nguvu kubwa aliyowekeza Mwalimu kupunguza idadi hii inasikitisha sana miaka zaidi ya 50 baadae ujinga unaongezeka na mpaka media zingine inabidi zitangaze 'ujinga' ili kuturidhisha wasomaji wake ambao ni wajinga pia!
 
Wewe nguvu na muda ambao unapoteza humu JF kuitukana CCM na kudanganya watu ungeitumia kutafuta pesa ungekuwa mbali sana.
Kwani wewe inakuhusu? mipango yake ya pesa anaijua yeye namna ya kuongeza kipato wewe si unalipwa buku saba na Nape!
 
Wewe nguvu na muda ambao unapoteza humu JF kuitukana CCM na kudanganya watu ungeitumia kutafuta pesa ungekuwa mbali sana.

Na wewe nguvu unayotumia hapa jf kuwasifu wezi na mizigo ungeitumia kwa shughuli za uzalishaji mali ungekuwa mbali sana!
 
Au angetumia muda huo kumtafuta baba yake mzazi, at least angekuwa na ubin wenye nasaba naye.

CDM imeishika mizigo pabaya,nadhani itakuwa chini ya mkanda! oneni mnavyoweweseka hadi aibu maskini magamba.
 
Udaku wa gazeti la kufungia vitumbua nani atauamini? wapelekeeni lumumba fc mpate mlo wa leo!
 
Hahahahaa waandishi wasahaulifu, si mtanzania ilifungiwa kwa kuandika "serikali yanuka damu"

Mtanzania lilifungiwa kwa sababu liliitaja serikali sikivu ya ccm. Zamu hii kwa kuwa imetajwa chadema utaona kimya tu. Propaganda nyingine mavi kbs!
 
Hahahahaa waandishi wasahaulifu, si mtanzania ilifungiwa kwa kuandika "serikali yanuka damu"

Ukiindika Chadema yanuka damu ni ruksa ila usithubutu kwa serikali yetu sikivu, siku hiyo ndio utajuwa kuna idara zinasoma magazeti yote kila siku, usipowagusa wao hamna shida.
 
CDM imeishika mizigo pabaya,nadhani itakuwa chini ya mkanda! oneni mnavyoweweseka hadi aibu maskini magamba.

Itakuwa mmeshikana wenyewe na miradi yenu ya gongo za kisasa na kashfa za Mukya na makengeza.
 
Nguvu kubwa wanayotumia ccm kuivuruga chadema ingetumika kuwapa maendeleo watanzania ccm ingeishi kwa raha sana,

Mkuu nakukumbusha Abuwasi alipokuwa anakata tawi la mti wakati amekaa kwenye tawi. Ndivyo chama cha wenzetu wanakata mishipa ya shingo ili waashi TUSUBIRI matokeo.
 
Wewe nguvu na muda ambao unapoteza humu JF kuitukana CCM na kudanganya watu ungeitumia kutafuta pesa ungekuwa mbali sana.

wewe mwenyewe JF si si ndio kitanda chako
 
walimuua chacha wangwe kwa kuhoji ruzuku, wakataka kumpa sumu ZZK sasa wananuka damu

Wakamuuwa Kolimba, Imrani Kombe, Sokoine, Salome Mbatia, Amina Chifupa and likes.......

Hawa Chadema wabaya sana!
 
Uhuru, mzalendo,sijui tazama na mengine yanayofanana na hayo wale wauzaji wanakuambia yanaitwa bangi yaani vimeo hayatoki wamiliki wake ni walewale wa wa uzao wa panya
 
Wakamuuwa Kolimba, Imrani Kombe, Sokoine, Salome Mbatia, Amina Chifupa and likes.......

Hawa Chadema wabaya sana!
wakamuua chacha wangwe, wakammwagia tindikali mussa tesha kule igunga, wakamtesa kibanda na sasa wanaitafuta roho ya zitto
 
...sijawahi kununua hii takataka,na wanaonunua ninamashaka na uelewa wao wa kiakili....
Wapo wasomaji wake kwani huwajui wamiliki wao!
Wasomaji wa gazeti hili jata awe msomi vipi lakini atasimamia hata upuuzi kutokana na imani yake !
 
Back
Top Bottom