Recent content by MOSELBAY

  1. MOSELBAY

    Hawa wamba ni kikosi cha nini pale JWTZ?

    Dah umenikumbusha mbali Sana asee. Dah.RIP rafiki yangu wa depo rameki makala
  2. MOSELBAY

    Mambo saba ya kufahamu kuhusu jua

    Na sisi tunao amini jua linazama kwenye tope.. Tukoment wapi
  3. MOSELBAY

    Anayefahamu jina la huu wimbo naomba anijuze

    Nafikili hiyo beat itakua ya. Rex rabanye. Huyo ndo mtaalam wa beat hizo. Mgoogle utapata beats zake nyiiiine Sana
  4. MOSELBAY

    African oldie music/muziki wa kizamani wa kiafrika

    Rex rabanye.. Beats za harusi
  5. MOSELBAY

    TV yangu haiwaki tatizo litakuwa nini? Naomba nipewe ABC kabla sijapigwa na fundi

    Nishasahau nilitengeneza shi ngapi maana kitambo kidogo. ila gharama sio kubwa kivilee.
  6. MOSELBAY

    TV yangu haiwaki tatizo litakuwa nini? Naomba nipewe ABC kabla sijapigwa na fundi

    Peleka kwa fundi akubadilishie. FBT . Tatizo litakua limekwisha.
  7. MOSELBAY

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    Nimechanganya madesa .
  8. MOSELBAY

    Gwajima na siasa za Ubunge

    Hua nakuelewa sana mkuu
  9. MOSELBAY

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    Oky ila mi sijaona comment yake yeyote ya kishoga.
  10. MOSELBAY

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    mwandende mtu poa anatoa madini ya viwanjani. Au we hutaki kwenda Europa
  11. MOSELBAY

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    Kim. kina nani tena mkuu
  12. MOSELBAY

    Nelson Mandela ni msaliti wa harakati za Uhuru wa Afrika Kusini na Afrika kiujumla?

    Ukitaka kujua nchi inaendeshwa na nani nenda south ukajionee. kiukweli mtu mweusi hana chake .mpaka leo mtu mweusi bado anaitwa bobjan kwenye nchi yake .alafu kaburu alipoona anaachia madaraka kwa mtu mweusi .walichota ela nyingi wakawapa wazungu wenzao ili waendelee kua na power walichota...
Back
Top Bottom