Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Mkuu uchumi wa Africa umebaki unathibitiwa na mzungu
Mweusi ameendelea kuwa mkimbizi ndani ya nchi yake
Kwa kuwa aliamua kuwa soft kuhusu ubaguzi wa kaburu angepigania hata uchumi wa walio wengi
Mweusi ameendelea kuwa mkimbizi ndani ya nchi yake
Kwa kuwa aliamua kuwa soft kuhusu ubaguzi wa kaburu angepigania hata uchumi wa walio wengi
Angefanya mambo yapi kiongozi?
Hii kuwachukiza wazungu nako huwa mbaya "Zimbabwe"
Sent using Jamii Forums mobile app