Recent content by Moro1

  1. M

    Tanzia: Mtambuzi apatwa na Masiba

    Mungu akupe nguvu kwa kuondokewa na mtt wa shemejio
  2. M

    Ujio wa PSquare - ITV Taarifa ya Habari.

    Kumbuka taarifa habar ya saa moja ni marudio ya taarifa ya habar ya saa mbili ucku
  3. M

    Dr. Mvungi: Mwanafamilia aibua mapya kuhusu kifo chake

    Dr alwahi kucheza judo na karate so ucshangae jambaz mmoja kujeruhiwa
  4. M

    TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

    Ndugu hz habar ni za ukwel???
  5. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    We jamaa iyo identification yako nmeiona kweny group moja hv ya arsenal kule sura kitabu
  6. M

    Agiza kitabu unachokitaka kwa bei nafuu

    Me naomba unichekie kitabu kinaitwa the law of succession in kenya,mwandish wake ni mkenya ila ckumbuk jina la mwandishi kina cover la blue
  7. M

    hapa kama sijawaelewa FA na AY vilee!

    Video ni mbaya balaa
  8. M

    Live updates:Yanga FC v/s Mgambo JKT FC-Taifa leo tar 29.10.2013.

    Daah tbccm wamekata matangazo
  9. M

    Utajiri wa damu

    Maalim mzizimkavu embu rudi bana
  10. M

    List ya wasanii 50 wa muziki wa Tanzania ambao "wanalazimisha fani"

    we jamaa unachekesha xana,uyo yvone mwale kaimba nn tanzania hii?afu uyo anakonda wako kama unamaanisha jide mbona dc tym kafulia xana!!beef lake na ruge ndo lmempaisha tu ila kimzk no no no
  11. M

    List ya wasanii 50 wa muziki wa Tanzania ambao "wanalazimisha fani"

    We jamaa umechemka kwa kweli,rudi ukajpange upya, Jux ana hit songs kama uzuri wako,napata raha,mwambie yeye n.k, Izzo B (Miss biznes,naongea na riz1,ball player,afu kuna hii aloimba na shaa na barnaba) Cyril (Nmerud,Nafanya,mtoto wa singida) Abdu kiba (bingwa viduku,kidera),RUDI KAJPANGE JAMAA...
Back
Top Bottom