Recent content by morimaghita

  1. M

    ATCL kupeleka ndege Afrika Kusini pamoja na Airhostess walikuwa sahihi, tusichukulie kila jambo ni "ufisadi"

    "Newe mokuri newe mokughuteri" nakuelewa sikuelewi!!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mura weito Malema naipataje line ya Safaricom? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    List ya mikoa ambayo watanzania wengi hawana ndoto za kuishi ikitokea bahati mbaya

    Twinawe? nenda pekee yako! sie Mara tunatamani tuishi milele, kama huko kwenu maisha yamegoma kivyenu!!! tena ukome kutulisha maneno ya hovyo mburura wewe swine!!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Special thread: Kwa wote ambao tumeshagongewa wake zetu

    Ushajinasibu kuwa ushagonga wa wenzio wengi tu! sasa kiherehere cha nini? mbona ngoma droo!.Chambilecho"muosha huoshwa" Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Kwa miaka 18 sijawahi kushudia ugumu wa biashara kama awamu hii ya Tano

    Very fun pale waajiriwa wanapokuwa matajiri kuliko mabosi!!!!! Huku wilayani ukienda ofisi za Halmashauri ndo kuna ndinga kali balaa! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Ubora wa simu aina ya samsung galaxy note 3

    Situmii 4g, yaani kwa sasa hii simu hata "H" kuipata ni mbinde full"E" muda wote! inakera mno. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Ubora wa simu aina ya samsung galaxy note 3

    Nimefanya kama ulivyoagiza nimekuta free ram ni1.8gb mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Ubora wa simu aina ya samsung galaxy note 3

    Out of 32 gb internal storage nimetumia 13gb tu na simu ina ram 3.In short sina makorokoro mengi kihivyo, hata dialing tone natumia ya simu, mie na muziki mbalimbali yaani iko empty Chief!!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Ubora wa simu aina ya samsung galaxy note 3

    Mie ndio naitumia,lakini hivi sasa imekuwa slow sana kwenye internet, shida sio mtandao maana simu yangu ingine ipo poa tu.Je kuna ujanja wa kuifanya iwe kama zamani? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tatizo la huyu dogo ana mwenzake mmoja , kauli zake si za kistaarabu kabisaaa!!!! .Halafu analeta ubabe na anatuma clip akitukana wadau amkanye huyo rafiki yake. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Putin: "I'm Ready for another Cuban-Missile Style Crisis"

    Sela son are you serious eti"hiyo ww3 ije ushuhudie". Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Sackur: Good to see my interview with Tundu Lissu has stirred passionate debate!

    Vivyo hivyo hatuwezi kuwa na raisi anaye breach kichwa aonekane kijana. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yote tisa, kumi ni siku suala la muamala 1xbet kupata ufumbuzi.Siku hiyo naisubiri kwa hamu sanaaaa, hizi app zingine duhhhh!!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    At last solution imepatikana,thanks alot @oneonly.Dahhhh! yaani takriban miezi 2 imepita, 1xbet nakula kwa macho.Sasa hivi niko kwenye process ya kukamilisha nijidai kwenye 1xbet . Sent using Jamii Forums mobile app
  15. M

    MSWAKI MPYA!!

    Dogo unasubiri nini? Mbona una kipaji cha "kuona" weka bango la "mganga toka Nyanchabakenye" anaona wachawi,anaona"wachafu" anaogesha nyota !!!!! hii nayo "uppercut jab watu chaliii!!! kama Francis Cheka, yaani umetuwezaaaa!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom