Putin: "I'm Ready for another Cuban-Missile Style Crisis"

Putin: "I'm Ready for another Cuban-Missile Style Crisis"

Hivi kati ya nchi 28 zipo kwa ajili ya taifa moja tu Russia huoni hao ndiyo waoga hayo maneno ya kusema ni mikwara yaliwaponza Georgia na Ukraine walidanganywa na mjomba wao ila kichapo kilipoanza si mjomba wala kaka aliyeingilia hilo sereka matokeo yake majimbo ya Abkhazia Ossetia yakajitangazia uhuru mpaka Leo hii crimea iko Russia mjomba na vibaraka wake kimya
Mkuu punguza matango.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuvipunguza maana yake ushawishi wake maeneo hayo umepungua ndio maana anasaka chimbo lingine. Na ku withdraw troops ni hatua hivyo atatoka mazima.

Hiyo US ya kusoma mainstream na vijigazeti uchwara ndio tatizo. US naijua Vizuri mkuu..sio kwa kuisoma tu..through their operatives..fuatilia Vizuri post kipindi cha kusimikwa kwa DT kuna post niliandika inaonekana ramli ila ndio uhalisia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Wewe Unaijua US Kuliko US Wanavyojijua Wao Wenyewe? Taarifa Zilizopo Kwa Sasa Ndio Hizo Kwamba Bado Marekani Wana Vikosi Vyao Pale Syria. Kuhusu Kuviondoa Vikosi Ulikuwa Msimamo Wa Trump Yeye Mwenyewe Kabla Hata Hajawa Rais Na Jana Tu Katoka Kuzungumza Na Erdogan Kuhusu Hii Ishu. Si Jambo La Kushangaza Hata Hivyo Vikosi Vilivyobaki Vikaongezeka Hapo Baadaye Kutokana Na Hali Inavyoendelea.
 
Hata Hitler aliweza kupigana na kuingia hadi Moscow,Stalin akakimbilia mji mwingine na kusubir hali winter ndo wakawasogeza Germans.Kila nchi ilionja joto ya Hitler bana.Usiongee kishabiki
Hapa hakuna ushabiki ila unajua kabisa Russia aliyaswaga majeshi ya mjerumani mpaka kuiteka kabisa
 
Sasa Wewe Unaijua US Kuliko US Wanavyojijua Wao Wenyewe? Taarifa Zilizopo Kwa Sasa Ndio Hizo Kwamba Bado Marekani Wana Vikosi Vyao Pale Syria. Kuhusu Kuviondoa Vikosi Ulikuwa Msimamo Wa Trump Yeye Mwenyewe Kabla Hata Hajawa Rais Na Jana Tu Katoka Kuzungumza Na Erdogan Kuhusu Hii Ishu. Si Jambo La Kushangaza Hata Hivyo Vikosi Vilivyobaki Vikaongezeka Hapo Baadaye Kutokana Na Hali Inavyoendelea.
Sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona mtu kila siku anatoa vitisho ujue mwoga uyo! Maana kila siku ni Puttin ndiye analalamika na kupiga mikwara kibao wakati wenzake wako kimya wakifanya research na kuandaa mbinu za kukuza Uchumi.
KILA TAIFA LINA KILE LINACHOKIAMINI ILI LIENDELEE KUWEPO KATIKA USO WA DUNIA MFANO ISRAIEL IMEWEKEZA HEAVILY KWENYE ESPIONAGE KTK NCHI ZA KIARABU IKIAMINI NCHI HIZO NI HATARI KWA USTAWI WAKE VIVYO HIVYO URUSI INA HISTORIA NGUMU YA KUVAMIWA KIVITA TANGU ENZI ZA AKINA NAPOLEON BONAPARTE HADI KUIBUKA KIDEDEA KTK VITA KUU YA PILI YA DUNIA NA NDIYO ILIYOPELEKEA URUSI KUINVEST KTK UUNDAJI WA SILAHA KWA RASILIMALI NYINGI KULIKO NCHI YOYOTE DUNIANI NA NDIO NCHI INAYOONGOZA KUWA NA SILAHA NYINGI NA ZA KUTISHA KULIKO TAIFA LOLOTE PIA NDIO NCHI ILIYOJIHAMI KWA UMADHUBUTI MKUBWA KULIKO NCHI YOYOTE MFANO HADI KUFIKIA 1970 URUSI ILIKUWA IMEJENGA NYUMBA 1578 ZENYE UKUBWA SAWA NA WHITE HOUSE KILA MOJA, ZIKIWA MITA ZAKUTOSHA DEEP DOWN SOIL PROFILE ZIKIWA ZIMEFUNIKWA NA REINFORCED COCRETE LENYE UNENE WA FUTI 75 NA MPAKA LEO WAMEJENGA NA WANAENDELA KUJENGA MAELFU YA NYUMBA NYINGI ZA NAMNA HIYO DOWN EURAL MOUNTAIN HIVYO KWA MATAYARISHO HAYA NDIPO UTAONA UTOFAUTI KTK MAENDELEO YA UCHUMI KATI YA TAIFA LINALOTENEGENEZA FLAT SCREEN NA LILE LINALOINVEST KWENYE INTERCONTINENTAL BALISTIC MISSILES
 
Mkuu huoni USA akiweka silaha huko Europe atakuwa amewatoa kafara wenzake make itabidi Russia kama ambavyo alishawahi kusema kabla hajashambulia USA atahakikisha Europe na middle east panabaki majivu


Mkuu King..hopefully haya malumbano hayatafika mbali huko.
Diplomatic ties kati ya Trump admin. na Putin haziko too tense na shaky kama wakati wa Obama admin. Ingawa Trump nae hatabiriki, lakini zinaiva kiasi na Putin.

Maana kama sio hivi, hii itakuwa shughuli kuliko alivyosema Putin hapa.
Wakati hawa wanasema watafanya Europe na Middle East majivu, wale wengine wanasema hizo missiles zinaweza kutua Moscow within 15 minutes.
 
maybe he is talking about venezuela,or he could be talking about ukraine,there have been a lot of activities in east ukraine recentry,suggesting that moscow could be planning to take ukraine once US take venezuela,seeing how the US have been claiming that venezuela is in their backyard,so moscow ready to claim Ukraine is in their frontyard


Hivi M US anaweza kuchukua Venezuela kimabavu?!, bado nashindwa kuelewa vizuri Ile note ya John Bolton kupeleka troops Colombia. Unless kama wana mpango wa kum take down Maduro then walinde amani.

Cos hata wakienda UN Security Council na hoja against Maduro, watapata support ya allies wenzake UK na France ndio.
Lakini Mrusi na Mchina sio wata Veto?!
 
Write your reply...@Nalendwa,kufikia kesho mida hii tutakuwa na uelekeo upepo utaenda vipi,marekani hataangalia UN wameamua nini,na Russia iko mbali mno na venezuela kuweza kusaidia kama alivyofanya kwa syria na isitoshe majirani wa venezuela kama colombia,Brazili wameside na marekani,kwahiyo kama yakilipuka mapigano uwezekana wa maduro kubaki rais ni mdogo mno,so Russia anaweza kutumia hiyo fursa ya marekani kuwa busy venezuela kuweza nae kuweka mtu wao ukraine ili ngoma iwe draw
 
Urusi bado haijfikia levo ya kupambana na marekani kijeshi; isipokuwa marekani nayo imekuwa inapwaya sana katika kipindi cha miaka ishirini na tano iliyopita kwa sababu za siasa za ndani tu. Tangu mapinduzi ya 1994 ya Contract with America, taifa hilo limekuwa halina siasa za ndani zenye mwelekeo wa kitaifa, badala yake limegawanyika sana kiitikadi na hivyo kutokuwa na sera ya pamopja ya nje kama ilivyokuwa kabla ya hiyo Contract with America..
 
Kuvipunguza maana yake ushawishi wake maeneo hayo umepungua ndio maana anasaka chimbo lingine. Na ku withdraw troops ni hatua hivyo atatoka mazima.

Hiyo US ya kusoma mainstream na vijigazeti uchwara ndio tatizo. US naijua Vizuri mkuu..sio kwa kuisoma tu..through their operatives..fuatilia Vizuri post kipindi cha kusimikwa kwa DT kuna post niliandika inaonekana ramli ila ndio uhalisia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukumbushe mkuu kwa kuweka link.
 
Write your reply...@Nalendwa,kufikia kesho mida hii tutakuwa na uelekeo upepo utaenda vipi,marekani hataangalia UN wameamua nini,na Russia iko mbali mno na venezuela kuweza kusaidia kama alivyofanya kwa syria na isitoshe majirani wa venezuela kama colombia,Brazili wameside na marekani,kwahiyo kama yakilipuka mapigano uwezekana wa maduro kubaki rais ni mdogo mno,so Russia anaweza kutumia hiyo fursa ya marekani kuwa busy venezuela kuweza nae kuweka mtu wao ukraine ili ngoma iwe draw
Mkuu mbona Russia alishepeleka ndege za kijeshi kule Venezuela hata kabla jamaa wa upinzani hajitangaza rasmi kuwa raisi wa mpito.
 
KILA TAIFA LINA KILE LINACHOKIAMINI ILI LIENDELEE KUWEPO KATIKA USO WA DUNIA MFANO ISRAIEL IMEWEKEZA HEAVILY KWENYE ESPIONAGE KTK NCHI ZA KIARABU IKIAMINI NCHI HIZO NI HATARI KWA USTAWI WAKE VIVYO HIVYO URUSI INA HISTORIA NGUMU YA KUVAMIWA KIVITA TANGU ENZI ZA AKINA NAPOLEON BONAPARTE HADI KUIBUKA KIDEDEA KTK VITA KUU YA PILI YA DUNIA NA NDIYO ILIYOPELEKEA URUSI KUINVEST KTK UUNDAJI WA SILAHA KWA RASILIMALI NYINGI KULIKO NCHI YOYOTE DUNIANI NA NDIO NCHI INAYOONGOZA KUWA NA SILAHA NYINGI NA ZA KUTISHA KULIKO TAIFA LOLOTE PIA NDIO NCHI ILIYOJIHAMI KWA UMADHUBUTI MKUBWA KULIKO NCHI YOYOTE MFANO HADI KUFIKIA 1970 URUSI ILIKUWA IMEJENGA NYUMBA 1578 ZENYE UKUBWA SAWA NA WHITE HOUSE KILA MOJA, ZIKIWA MITA ZAKUTOSHA DEEP DOWN SOIL PROFILE ZIKIWA ZIMEFUNIKWA NA REINFORCED COCRETE LENYE UNENE WA FUTI 75 NA MPAKA LEO WAMEJENGA NA WANAENDELA KUJENGA MAELFU YA NYUMBA NYINGI ZA NAMNA HIYO DOWN EURAL MOUNTAIN HIVYO KWA MATAYARISHO HAYA NDIPO UTAONA UTOFAUTI KTK MAENDELEO YA UCHUMI KATI YA TAIFA LINALOTENEGENEZA FLAT SCREEN NA LILE LINALOINVEST KWENYE INTERCONTINENTAL BALISTIC MISSILES
Mkuu ingawa mimi nipo upande wa Russia lakini Marekani pia wanazo hizo bunker za kujilinda na nuclear bomb.
 
Back
Top Bottom