Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
Ukitoa display A3s ni nzuri zaidi.Mkuu CHIEF MKWAWA naomba unisaidie hivi samsung s5 ni nzuri kuliko A3S.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitoa display A3s ni nzuri zaidi.Mkuu CHIEF MKWAWA naomba unisaidie hivi samsung s5 ni nzuri kuliko A3S.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ram 3gb ndio ila kati ya hio 3gb ipi ipo free?Out of 32 gb internal storage nimetumia 13gb tu na simu ina ram 3.In short sina makorokoro mengi kihivyo, hata dialing tone natumia ya simu, mie na muziki mbalimbali yaani iko empty Chief!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ram 3gb ndio ila kati ya hio 3gb ipi ipo free?
Nenda setting kisha apps kwenye running apps chini angalia utaona free ram
![]()
Then ni tatizo jengine mkuu, simu ipo fresh.
Situmii 4g, yaani kwa sasa hii simu hata "H" kuipata ni mbinde full"E" muda wote! inakera mno.Then ni tatizo jengine mkuu, simu ipo fresh.
Unatumia 4g?
Asante mkuu wangu wacha niendelee kushikamana nayo sema ni single lini kama s5Ukitoa display A3s ni nzuri zaidi.
J4 ni nzuri ila kama anataka s pen feature hatapata kingine screen resolution ya note 3 ni kubwa 1920×1080 kama sikosei ambayo ni full hd kingine note 3 inaweza kurekodi video hadi 4k.Pia unaweza kuiwekea custom rom ikawa na features zote za note note 8 na ika run android 8 au zaidi mambo ni mengi ila kama unapenda note series chukua note 4 ni nzuri zaidi coz note 8 & 9 bado ni very expensive.Ila pia kama hupendi note series chukua j4 kama mdau alivyokushauri,ila pia kama unapenda flagship na hupendi za ghali kuna hizi note 4 note 5 s6 edge s7 s7edge ila price zake ni above 300k.
Sent using Jamii Forums mobile app