Kujcfia chuo au fan fulan uliosoma wakat huna kaz ni ulimbuken na umaskin wa kimawazo unaowakumba wasom weng tz, watu mnashindwa kukadil jins ya kuibua fursa za kujiajil kwa kutumia taaluma zen mnabak kujicfu chuo
Asante sana wadau kwa mchango wenu mzuri, nadhan sasa nimepata ujacl wa kwenda kumuuliza basic salary yangu ni ngap ili kujua kuwango halic cha PPF yangu...coz alintajia tu take home na cyo basic salary.
Naamin utachangia kama unayajua vizur maswala
Jana kuna sehem nilitwa kufanya interview na hatimaye nkaibuka kidedea kat ya wale tulioitwa, tulipofika kwenye swala ya malipo nikaambia take home yako itakuwa 800,000/= halafu PPF utakuwa unapelekewa 70,000/=. Je kwa weny uelewa hil lipo sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.