Recent content by Mopak

  1. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na Watanzania nilipowaonya hapa JF kuhusu Rais Ruto wa Kenya hamkunielewa, ila naamini sasa mtanielewa vizuri tu

    Kila mbuzi arudi kwao hata mimi nimesharudi niluza kila kitu nkasepa naendelea na maisha bila tz
  2. M

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi Mwita Milumbe adaiwa kuteswa na kuuwawa, Ndugu waomba msaada

    Acha ujinga wa kunijazia alerts na malike yako raraa reree unarusha likes hata pasipo. Ntakurogaaa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi Mwita Milumbe adaiwa kuteswa na kuuwawa, Ndugu waomba msaada

    Mungu simama na mwananchi wa kawaida. Acha polisi wafe tu. Asante kwa kujibu maombi ya mwananchi mapema. Baba yetu ulye juu mbinguni maaskari wako ndio walinzi tosha, wengine miyeyusho baba simama nasi ni katika jina mwanao yesu kristo. Amen
  4. M

    JamiiForums Tanzania FT: Fountain Gate 0-2 Young Africans SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Stadium | 31/08/2026

    Nipo mahakamani nawaulza hamnjibu. Kwa mara ya pili nauliza ni yanga ipi na ligi gani
  5. M

    JamiiForums Tanzania FT: Fountain Gate 0-2 Young Africans SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Stadium | 31/08/2026

    Mbona siwaelewi leo. Yanga ipi inacheza leo.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Kanyaganeni huko. Mimi nasubiri tu wapandishe bei ya nyago nikinukishe. Cmcm asilimia 75 ni mbuzi wa kafara. Bado kuna weng tu.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    tupo mahakamani mnaleta mambo ya vinnembele mda huu shenzi nyie. Ntawarogaaa
  8. M

    JamiiForums Tanzania Donald Felix Mwembe: Lissu amekaa sana gerezani inauma, Heche akubali maridhiano atoke

    Maridhiano hayajamweka lissu ndani na pia liss mwenyewe hawezi kubali hayo maridhiano ya kijinga. Aliye karibu na huyo mrisya alotairiwa hos ni kama alienda kufanya abortion ale hyo hela alohongwa taratibu asituletee za kuleta nisije kumrogaaaa.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Zijue sifa na gharama za kumiliki silaha Tanzania

    Wabongo mmenishinda tabia. Kumililiki mchepuko ni shughuli, kagari kukamiliki napo pia ni shida, kumiliki mke na watoto changamoto, kumiliki kauwanja ni mbinde tena hadi kumili bunduki jaman. Acha nijimiliki mwenyewe sasa.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kenya Kununua Magunia Milioni 11 ya Mahindi kutoka Zambia Kwa bei Kubwa na Kuikacha Tanzania Yenye Mahindi Mengi ya Bei Chee.

    Mahindi ya wabongo wakenya walishayateka na ndio maana hayana soko.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali (JasusiTV): Dr Emmanuel Nchimbi Yuko mahututi; Taarifa kamili hii hapa

    Toaneni maini kwa kwenda mbele
  12. M

    JamiiForums Tanzania Serikali acha kuonea watu.

    na mim sijakuambia wewe. Ntakurogaaa
  13. M

    JamiiForums Tanzania Serikali acha kuonea watu.

    Mda mwingne tumieni hata akili za kuvukia barabara kuelewa jambo. Watanzania sisi ni mafala na ungiri hautatuisha. Sip ya nne hadi sasa yaan halipandi kabisaaa
Back
Top Bottom