Kama unafikiri members wa jf ni maskini hapo umefeli. Yaan jf kila mtu ni boss magari majumba makampuni tunamiliki sisi afu unasema ututaftie kazi. Watu tunalipwa mishahara minono unasema kazi bro kazi gani utaftia ambayo itatosha mshahara kupanda ndege hata kwenda zanzbar peke yake tukale bata...
Kwa utajiri hatumo pia kwa umaskini hatumo, sa hapo huwezi ukaona hatupo kwenye ramani ya africa au mpaka chadema ikwambie ndio uelewe. Tanzania kutokupatika katika orodha ni sawa na pale unachambua mahindi ama mbegu zozote into three yaan nzuri zaidi, nzuri za kawaida na zilizooza ambazo ni ya...
Alopima yeye alisimama wapi na mitambo yake akapima. Acha watu wasiwe wanatuaminisha uongo. Subiri kuna mtu atakuja hivi karibuni na kudai kuwa kula chakula n dhambi. Na mwingne atakuja na kusema kuwa kuoga ni kuharibu mwili na wanavokuja na terms za maneno magumu magumu ambayo hata wenyewe...
Remember the only shimo a man enters himself ni kaburi tu na kwa hili hata iweje huwezi kuepuka nalo hapo wewe jifanye kama hamna lililotokea usubirie mda ufike ufe. Pili hata kama mkeo kachepuka hadi kukuletea watoto wewe hapo huna kosa. Na kwanza kuja ifike upime dna ukiwa umezeeka hizo nguvu...
Sijamaliza kusoma lakini nimeelewa. Ni hivi, maisha ya jf ni tofauti sana na maisha na mke wako. Jf kila mtu ni tajiri usafir n ndege. Asilimia kubwa tunamiliki magari majumba biashara kubwa kubwa kwa iyo jf hatupangwingwi coz we are the bosses na kikubwa zaid wote tunajiweza bed seven inch zetu...
Wakati wa vita ucje kusema kuna huruma ndugu yangu. Raia wa iran wakifanya hivo wapinzani wao watapata mwanya mzuri coz watalipua huko huko kulipo na wananchi ili iran igeukie huko kusaidia majeruhi then malayakan na sloraitas wawatandike vizur. Any ngoja wakanyagane mimi nyani mtu mweupe wapi...
huyo alikuwa amevurugwa huko alikokua. Juzi kuna mmoja nimekutana nae ni soda tu nilimnunulia namim nkanywa maji saa hivi amenitafuta had katumia namba za marafiki zake. Simu sijapokea coz leo wife kanambia konyagi nanyea home ya yeye ndo ananihudumia. Kesho ntawapa feedback
Kwanza pole kwa changamoto ulizopitia. Ni kweli jf kuna watu wanaudhi yaan mfano unajibu post jitu from nowhere na hangover zake za uji anakwambia huna akili as if unatumia zake. Hao mimi nakushauri ujifunze kuwazoea tu.
Na kuhusu kutongoza cku hizi hakupo ndugu yangu wewe kutana na mrembo...
Mwanamke. Ok. Ana pesa kukuzidi. Ok. Unataka uzimiliki. Ok.
Fanya hili jambo and you will enjoy her money had utoroke mwenyewe.
Nunua misumari robo ya 4" afu uchukue minne then uichome hadi iwe mekundu ukiwa umeidunga kwene vijiti. Ikishakuwa mekundu ndu' (hapo nimetumia ile ya nyeupe...
Nikiamua kulia nalia tena bila mtu kunichapa wala kunikwaza. Nililia tarehe 1 jan 2000 kisa sijaenda kuchunga ngombe nimeenda kanisani na hadi wa leo cjui kwa nini nilienda na ckumpata mungu. Poleni mnaomtafta mungu. Mniache tu nilivokuja coz mnaoamini bble wote tumekula mke wa ruth. Kesh badae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.