Recent content by Mopak

  1. M

    JF tuanzishe mpango wa kuwapa au kuwatafutia kazi za kufanya. Sasa inakuaje mtu yupo online JF masaa yote 24/7. Kazi anafanya saa ngapi?

    Kama unafikiri members wa jf ni maskini hapo umefeli. Yaan jf kila mtu ni boss magari majumba makampuni tunamiliki sisi afu unasema ututaftie kazi. Watu tunalipwa mishahara minono unasema kazi bro kazi gani utaftia ambayo itatosha mshahara kupanda ndege hata kwenda zanzbar peke yake tukale bata...
  2. M

    Nchi 25 zenye umaskini uliotopea zaidi duniani zatajwa, Kenya yashika namba 10, Tanzania haimo

    Kwa utajiri hatumo pia kwa umaskini hatumo, sa hapo huwezi ukaona hatupo kwenye ramani ya africa au mpaka chadema ikwambie ndio uelewe. Tanzania kutokupatika katika orodha ni sawa na pale unachambua mahindi ama mbegu zozote into three yaan nzuri zaidi, nzuri za kawaida na zilizooza ambazo ni ya...
  3. M

    NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Alopima yeye alisimama wapi na mitambo yake akapima. Acha watu wasiwe wanatuaminisha uongo. Subiri kuna mtu atakuja hivi karibuni na kudai kuwa kula chakula n dhambi. Na mwingne atakuja na kusema kuwa kuoga ni kuharibu mwili na wanavokuja na terms za maneno magumu magumu ambayo hata wenyewe...
  4. M

    Nini unapaswa kufanya ili kuepuka kulea watoto ambao sio wako?

    Remember the only shimo a man enters himself ni kaburi tu na kwa hili hata iweje huwezi kuepuka nalo hapo wewe jifanye kama hamna lililotokea usubirie mda ufike ufe. Pili hata kama mkeo kachepuka hadi kukuletea watoto wewe hapo huna kosa. Na kwanza kuja ifike upime dna ukiwa umezeeka hizo nguvu...
  5. M

    TANESCO wameanza kuibia wateja waziwazi

    Tulia hivo wewe usijali ndugu yangu. Tutanyonywa hadi tukome tena kila sector
  6. M

    Tetesi: Mzee amepigwa na kiharusi kikali, sijui kama atatoboa

    Bora angepigwa na kitohara kuliko kiharusi.
  7. M

    Wanaume mnaokasirika kasirika humu, mnaishije na wake zenu?

    Sijamaliza kusoma lakini nimeelewa. Ni hivi, maisha ya jf ni tofauti sana na maisha na mke wako. Jf kila mtu ni tajiri usafir n ndege. Asilimia kubwa tunamiliki magari majumba biashara kubwa kubwa kwa iyo jf hatupangwingwi coz we are the bosses na kikubwa zaid wote tunajiweza bed seven inch zetu...
  8. M

    Iran imetoa wito raia walale kwenye vituo vya Umeme na Madaraja ili kuvilinda

    Wakati wa vita ucje kusema kuna huruma ndugu yangu. Raia wa iran wakifanya hivo wapinzani wao watapata mwanya mzuri coz watalipua huko huko kulipo na wananchi ili iran igeukie huko kusaidia majeruhi then malayakan na sloraitas wawatandike vizur. Any ngoja wakanyagane mimi nyani mtu mweupe wapi...
  9. M

    Jinsi ya kutongoza mwanamke bila kukataliwa

    huyo alikuwa amevurugwa huko alikokua. Juzi kuna mmoja nimekutana nae ni soda tu nilimnunulia namim nkanywa maji saa hivi amenitafuta had katumia namba za marafiki zake. Simu sijapokea coz leo wife kanambia konyagi nanyea home ya yeye ndo ananihudumia. Kesho ntawapa feedback
  10. M

    Jinsi ya kutongoza mwanamke bila kukataliwa

    Kwanza pole kwa changamoto ulizopitia. Ni kweli jf kuna watu wanaudhi yaan mfano unajibu post jitu from nowhere na hangover zake za uji anakwambia huna akili as if unatumia zake. Hao mimi nakushauri ujifunze kuwazoea tu. Na kuhusu kutongoza cku hizi hakupo ndugu yangu wewe kutana na mrembo...
  11. M

    Big Resignations, Bigger Questions! Who Played Kenyans?

    Nnavowajua wakenya hilo kwao ni swala dogo tena saana na watalimaliza wenyewe bila hata ya kiongozi kuwasimamia. Wewe subiri.
  12. M

    Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Nakushauri ufe mapema kabla hujauawa kifo kingne kibaya sana. Hiyo timu ikiamua kushkana hutabaki salama nakwambia.
  13. M

    Naweza Vipi Ku-deal na Mwanamke Mwenye Kiburi cha Pesa na Tabia ya Ubinafsi?

    Mwanamke. Ok. Ana pesa kukuzidi. Ok. Unataka uzimiliki. Ok. Fanya hili jambo and you will enjoy her money had utoroke mwenyewe. Nunua misumari robo ya 4" afu uchukue minne then uichome hadi iwe mekundu ukiwa umeidunga kwene vijiti. Ikishakuwa mekundu ndu' (hapo nimetumia ile ya nyeupe...
  14. M

    Kisa cha Lutu: Hivi ni nani aliyegeuka nyuma kuthibitisha Mke wa Lutu amegeuka jiwe la chumvi?

    Nikiamua kulia nalia tena bila mtu kunichapa wala kunikwaza. Nililia tarehe 1 jan 2000 kisa sijaenda kuchunga ngombe nimeenda kanisani na hadi wa leo cjui kwa nini nilienda na ckumpata mungu. Poleni mnaomtafta mungu. Mniache tu nilivokuja coz mnaoamini bble wote tumekula mke wa ruth. Kesh badae
Back
Top Bottom