Ndoche ono ndebelekera ahire togogere umusubhati. But kichuri hakipatikani kwa kila utumbo wa ngombe au mbuzi. Kichuri kimo ndani ya utumbo special ni laini na chungu nasio kizito kama hayo mabaki. Na ngombe mzima unaweza kupata nusu lita mbuzi mzima unaweza kupata hata 200ml it depends na...
Hata mnaojiita millinials humu kama hukuwahi kwenda na demu akavua hizi nguo:sketi, ndan kuna sketi nyepes{nimeisahau jina}then kamisi, baada yahapo kikaptula kigumu, kanafatia kengine kale ka michezo sasa ndo ukutane na pichu na juu tishet, then kitop ndo ukutane na sidiria wewe n gen z toa jam.
Wanasayansi kweli badala mtafiti dawa hata la kusaidia binadamu kutoka na magonjwa yaliyojaa kwa akili zenu za kisomi mkaka kabisa mkaamua kutafiti kisimi. Nani hajui kisimi kinakaa wapi mburukenge nyie. Hata mtoto mdogo anajua kisimi na kinakaa wapi. Mmeamua kujidhihirisha wazi wazi mlivo na...
We used to have kata k fashion sasa hivi yao ni kata m yaan n chini ya matacall. We used to paka those blues on our shirts ndio bt wao kwa sasa wanavaa nguo za wadogo zao na chupi nje nje.
mkuu mimi naona hao gen alpha kwa ushoga ndio wataongoza acha hawa tuwaachie u senior bachelor coz sio siri utakua unakuta mtu miaka 55 hana mke na tuko hapa.
Gen z unamkuta kavaa yebo kubwa afu zito surual kaimodoa inambana hadi akinyeshewa anaomba msaa wa kuivua, kavulana ka watu unakuta kamejipodoa ni kama.... Acha nisimalize maana.....
no kwa mda ule nchi haikuwa na rais ila kwa sasa watu wakiamka kitaeleweka coz wamemukikwa kwa jicho la tatu kila sehemu. And am sure siku watu wakiandamana polis hatafanya chochote labda ya machoz tu lakin za moto nefaa. Ila ipo cku yao tu.
uwana harakati ambao mtu anatekwa mmesimama wanaenda nae. Nimetoa tahadhari watu wajilinde wenyewe na wewe unaleta mambo na platform cjui uanaharakati. Wewe mbona hata jamii yako kazi wanayo. Tatizo hujasoma toka juu umedandia baiskel kwa mbele nipishe huko alaaa! Sikusema i only fear god, njaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.