Mwisho wa mwezi naenda arusha nipite namanga niende kumsailimia kasongo na nitatumia usafiri wa bas coz haka kangu kanaweza lipukia njiani.
Nahitaji anayejua basi safi nauli ndogo aniambie hadi na nauli na pili aniambie kama kuna uwezekano wa kuunganisha safari coz kulala lodge sina nida na kuvuka sina passport. Je nifanyeje?
Nahitaji anayejua basi safi nauli ndogo aniambie hadi na nauli na pili aniambie kama kuna uwezekano wa kuunganisha safari coz kulala lodge sina nida na kuvuka sina passport. Je nifanyeje?