“SIPUNGUZI HATA SH MOJA, serious buyers only.” No negotiations allowed!!! [emoji54] What kinda business offer is that, but anyways provided you have receipts for all the purchases made to back your stand
Kwanza kuna tatizo moja kubwa hâta Zlatan Ibrahimovic amelisisitiza ya kwamba Messi na Ronaldo CR7 ni wachezaji wawili tofauti sana kwa hiyo kuwalinganisha ni vigumu pia. CR7 ni complète striker na kwa Mara nyingi ni Mtumwa kuhudumiwa sana amalizie kufunga. Wakati Messi ni Midfield...
Mkuu piga moyo konde, ni miaka miwili tu utabiri wako utathibitika, hâta nami naona vivo hivyo JPM atalaumu mapungufu yake kwa watendaji wake tu, kujisafishia njia IKULU. Exaggerating Your Success and Downplaying your Failures (if needs be blame it on others) is a classic Campaign move.
Sawa waweza endelea na ya kwako lkn Awareness ni muhimu, sababu kwa namna moja au nyingine maamuzi ya bajeti yanakuathiri weye mwenyewe na hiyo michongo yako. Ukiweza kujitambua na kutambua bajeti ya taifa inaendaje unaweza kubashiri kwa mwaka mzima ujao michongo yako itaathirika vipi
Baba hatari, lakini yote uliyoyasema watu watayapitisha kwenye masikio yao kama vile hukusema chochote. Ni Ukoloni Mamboleo na kibaya zaidi HAWA wazungu wameshatuBRAINWASH kiasi kwamba chochote watakachosema na kufanya wengi wetu tutajionea sawa tu sababu tunawahusudu na kutaka KULWA kama wao...
Kweli kabisa anza kupeleka malalamiko yako kwa ofisi za Serikali za Mitaa, Diwani, Afisa Mtendaji n.k na baada ya kote huko ikishindikana, Kata MITI hiyo okoa maisha yako na ya familia,halafu kama kesi utapambana nayo baadae
She probably SQUIRT which is good, but you should first calmly ask how she felt when it happened, COMMUNICATION IS A KEY FOR BETTER RELATIONSHIP AND GREAT SEX
Mafanikio na Riziki yako yapatikana kupitia mikononi mwa watu wengine. Kwa hiyo basi kutengeneza mtandao au kizungu Networking ni jambo muhimu. Leo utaanzia kwenye “cheap drinks” Kesho na kutwa utapanda huko kwenye vinywaji ghali
Wanawake ili wawe laini wanatakiwa wapate vyakula vya mafuta laini (soluble fats/ LIPIDS). Matokeo mazuri na ya kudumu hupatikana pale msichana akipata LIPIDS tangu akiwa Mdogo, LIPIDS hupatikana kwenye mafuta ya NAZI kwa kula au kupaka kwenye NGOZI, mafuta ya mbogamboga (vegetable oils), mafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.