Recent content by MohamedSalum200

  1. M

    Elections 2010 Mwita Waitara Mwikwabe ashinda kura za maoni Tarime

    wewe humfahamu vizuri ,namfahamu tangu anasoma azania alikuwa headboy wa pale .ni kujipendekeza kwa walimu na ubinafsi.kama unakumbuka mwaka 2004 udsm aliuza vyumba nusu ya vilivyopo,watu walitaabika sana napenda upinzani lakini kwa mwita hapana ,hapana,hapana .bora rostam kuliko mwita waulize...
  2. M

    Elections 2010 Mwita Waitara Mwikwabe ashinda kura za maoni Tarime

    Huyu jamaa hamna kitu ni msaliti.namfahamu vizuri alikuwa rais wa daruso.alitufanya tusilale kulinda kura ,lakini alivyopata ndiye kiongozi aliyeboronga kuliko wote hafai hata kidogo.ni mbinafsi wa hali ya juu wala si mtetezi kama mnavyodai.poleni kwa kumshabikia mtu bila kumjua.muulize mtu...
  3. M

    CCJ Kulikoni!?

    mimi naona ccm haifai kulaumiwa ikiwa hata jina la katibu wa chama halipo katika orodha ya wanachama na tendwa sehemu alizopita hamna hata ofisi ya makuti ya ccj.Hichi ni chama cha vyombo vya habari (kifupi ni waganga njaa kama mtikila)
  4. M

    Jay Z, Beyonce and Rihanna are DEVIL WORSHIPERS

    huwezi kuandika mpaka uhusishe na mambo ya dini kuwa mstaarabu.kila comment lazima upondee upande mwengine.Toa mawazo sio kashfa.jirekebishe
  5. M

    FIFA Confederations Cup 2009

    wamefulia south africa
  6. M

    Ufisadi wa Mengi ni huu hapa

    acha uhuni wewe umetumwa na manji kama wanaccm wa Tabora wakawa hawajui wanachoongea wakatoka nduki.
  7. M

    Interview with Jakaya Kikwete, president of Tanzania

    mimi naona rais anafaa kuendelea hata kwa miaka kumi anajitahidi vya kutosha na kama kuna uwezekano awe rais wa maisha.anaonyesha jitihada ya kutosha kwa wananchi wake viva kikwete na ccm juu tawala milele hamna kama sisi.
  8. M

    Elimu Ya Ngono Kwa Watoto.

    Hii yote inatokana na utandawazi na nchi kukosa heshima anyway tunaomba Tanzania isitokee Mungu atuepushe
  9. M

    Sakata la DC anayejengewa nyumba na mwekezaji

    watanzania tushazoea kulalamika .kama inawezekana waende kwa jk wampe habari
Back
Top Bottom