Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,719
ni watu wengi sana duniani wako huko kwenye kuabudu hata na wengine ni wahubiri wakubwa wa injili.....ndugu shika ulicho nacho asije muovu akakupokonya
Yeye mwenyewe Shehe YH kundi hilohilo.Anatumikia ulimwengu wa giza.Mbona hizi zoooote Yahaya Hussein ameshawaelezeni zamaani sana...!
Mbona hizi zoooote Yahaya Hussein ameshawaelezeni zamaani sana...!
naona umeanza kumtetea muhubiri wako shehe yahya,,,,,hivi mtafunguka lini macho ndugu zetu kuona kuwa mnamtumikia shetani?
huwezi kuandika mpaka uhusishe na mambo ya dini kuwa mstaarabu.kila comment lazima upondee upande mwengine.Toa mawazo sio kashfa.jirekebishe
Mbona hizi zoooote Yahaya Hussein ameshawaelezeni zamaani sana...!
Nilikua na discus na watu fulani kuhusu hili swala, na wengi wao wakawa wanasema so what kama hao ma star ni devil worshipers, wao wanapenda miziki yao tu sio imani zao.
Sasa thats where the problem is. Mtu anaona hakuna harm yeyote ya kumfagilia devil worshiper na miziki yake bila kujua subconciously inamua affect sana. Tena effect inayoonekana haraka sana na kwa wazi sana ni kwa watoto wadogo.
Mtu yeyote anayekaa mjini hususan dar-es-salaam na kutembelea majumba ya starehe na sehemu za starehe, au kua karibu na mdogo wake au mwanae wa rika la kuanzia 15 hadi 25 atashangaa kuona mmomonyoka wa maadili ilivyosambaa katika society yetu.
Hii haishii hapo tu, bali pia ufisadi, ubadhilifu wa hela na miozo mingine mingi tunayolalamikia serikali yetu ni direct result ya viongozi na jamii ku idolize watu wenye misingi ya mibovu na ya kishetani.
Their emphasis on wealth and promescuity ndizo zinazofanya viongozi wakusanye mabilioni na kuyaita "vijisenti" na ngono na watoto wadogo kuiita ni tabia za "kiherehere".
jamani mimi nataka kujiunga na freemason , je hapa Tanzania wapo mawakala wao ? je naweza kuwapata wapi hapa mjini.