Hiyo kitu kunajamaa yangu aliitengeneza ilimsaidia katika madeni aliyokua akidaiwa ilimfanya awe huru mpaka Leo kilichotokea huyu jamaa yangu alikua nimuuzaji wamagari yaliotumika hapa dar maranyingi wateja wake niwatu wamikoani alikua anakuja kununua Gari dar kisha anaingiza kwenye mitandao...
Aminini nawaambia inchi imeshaingia katika kipindi kigumu sana na tumeshawapa nafasi wazungu kuingilia kati hilijambo sizani kama tutakua Salama ila yote nikwasababu ya watawala washamba ndio wametufikisha hapa
Nakupa tiba ila niuchawi unajitubu na ugonjwa una uhamishia Kwa MTU mwengine ila nawewe umehamishiwa namtu sasa chakufanya uwepo nashilingi mia jikamulie jipu na hiyo pesa ikiwa na usaha wake nenda ukaitupe popote ambapo inaweza kuokotwa ikiokotwa tu umepona naugonjwa unahamia kwahuyo alie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.