Nashukur kwa ushauri lakn nimejiandaa mkuunna uhakika kwa pesa hyo, hzo gari utapata fasta na iliyo katika hali nzuri hadi utashangaa, hzo gari watu wanazikimbia sana kuliko kawaida yaan mtu ananunua leo baada ya miezi 6 anaiuza kwa hasara!!
Naona unaenda kufunga ndoa na vituo vya mafuta(petrol stations).
ila nna uhakika baada ya miezi kadhaa utazichukia hzo gari na kujuta pale tu utapogundua kuwa umeingia Mara nyingi petrol station kuliko chumbani kwako
u've made ma day man!nna uhakika kwa pesa hyo, hzo gari utapata fasta na iliyo katika hali nzuri hadi utashangaa, hzo gari watu wanazikimbia sana kuliko kawaida yaan mtu ananunua leo baada ya miezi 6 anaiuza kwa hasara!!
Naona unaenda kufunga ndoa na vituo vya mafuta(petrol stations).
ila nna uhakika baada ya miezi kadhaa utazichukia hzo gari na kujuta pale tu utapogundua kuwa umeingia Mara nyingi petrol station kuliko chumbani kwako
Aina gani kati ya hizo mbili mkuu?Mkuu ninayo, nicheki Whatsap 0714521128
hahahahahaa u nailed itnna uhakika kwa pesa hyo, hzo gari utapata fasta na iliyo katika hali nzuri hadi utashangaa, hzo gari watu wanazikimbia sana kuliko kawaida yaan mtu ananunua leo baada ya miezi 6 anaiuza kwa hasara!!
Naona unaenda kufunga ndoa na vituo vya mafuta(petrol stations).
ila nna uhakika baada ya miezi kadhaa utazichukia hzo gari na kujuta pale tu utapogundua kuwa umeingia Mara nyingi petrol station kuliko chumbani kwako
mkuu mpe ushauri, hiyo 7M, gari ipi itampendeza zaidi...nna uhakika kwa pesa hyo, hzo gari utapata fasta na iliyo katika hali nzuri hadi utashangaa, hzo gari watu wanazikimbia sana kuliko kawaida yaan mtu ananunua leo baada ya miezi 6 anaiuza kwa hasara!!
Naona unaenda kufunga ndoa na vituo vya mafuta(petrol stations).
ila nna uhakika baada ya miezi kadhaa utazichukia hzo gari na kujuta pale tu utapogundua kuwa umeingia Mara nyingi petrol station kuliko chumbani kwako
Kama hapendi makuu atafute Toyota Raummkuu mpe ushauri, hiyo 7M, gari ipi itampendeza zaidi...
Km ndo muhimuUnachagua namba au
Ova
Vumilia January 4 kuna mnada wa magari bandarini utapata easilyWadau natafuta brevis au gx110 iliyo katika hali nzuri bajeti 7m, mileage isizidi 100,000 na CC isizidi 2500
INA km ngapi mkuu?