Nina mpango wa kujitengenezea "Fake Death"

Nina mpango wa kujitengenezea "Fake Death"

Hiyo kitu kunajamaa yangu aliitengeneza ilimsaidia katika madeni aliyokua akidaiwa ilimfanya awe huru mpaka Leo kilichotokea huyu jamaa yangu alikua nimuuzaji wamagari yaliotumika hapa dar maranyingi wateja wake niwatu wamikoani alikua anakuja kununua Gari dar kisha anaingiza kwenye mitandao yakijamii nakuiza Kwa bei juukidogo than anapata faida sasa alifikia hatua yakuaminiwa nawatu wengi kiasikwamga anatumiwa pesa yakununulia Gari kisha analipeleka mkoani sasa aliwapiga changa wengisana akaona hii ishu ishakua sio na madeni yakaanza kumuandama kilichofuata nikwamba alikua narafiki yake wakaribu ambae alikua akifanya nae biasha akamueleza mpango wake wote kua anataka kuyakimbia madeni sasa kilichofuata jamaa alichukua picha yagari iliopata ajali kubwa nakuiambatanaisha napicha yake yule rafiki yake wakaribu alikua amempanga ikabidi aitume ilapicha yagari nakuambatanisha picha ya jamaa kua R.I.p kisha namaneno yakuhuzunisha juu yakifo cha jamaa yake kisha akaishea ile picha kwenye account yajamaa najamaa akazima ilesim nakubadili line sasaivi jamaa ana line nyengine ila wingi wawadeni wake wamesha msamehee maana wanajua amekufa
 
Nina mpango wa kujitengenezea "Fake Death" - JamiiForums
Wakuu habali za leo ninapenda niwashukuru wote mlio changia uzi wa kwanza but ni hivi lile swala nimelifanikisha naishukuru timu nzima walio fanikisha hili swala saivi niko holiday Iceland baada ya mapumnziko nitarudi kuendelea na swala lililonifanya nifake death msiba ulifanyika mbeya jumatatu najua kunawatu wameumizwa but I will back again
 
Kama ni kweli mkuu naomba tufanye biashara....
Siku utakayorudi naomba uniambie nije nikufufue katika wafu#
 
Mkuu umekimbia na deni la watu...utapata tabu sanaaa
 
Habari za jioni wanajamvi natumai nyie wote ni wazima nijielekeze kwenye maada

Kunastuation flani ambayo ninakabiliana nayo naili kufanikiwa kwa usahihi na bila kuharibu na kuvuruga utaratibu mzuri inanibidi kutengeneza kifo (Fake Death) ili kuwaaminisha baadhi ya watu kuwa nimekufa ili niwe huru kufanya baadhi ya mambo nitareta mrejesho soon

=====

Wakuu habali za leo ninapenda niwashukuru wote mlio changia uzi wa kwanza but ni hivi lile swala nimelifanikisha naishukuru timu nzima walio fanikisha hili swala saivi niko holiday Iceland baada ya mapumnziko nitarudi kuendelea na swala lililonifanya nifake death msiba ulifanyika mbeya jumatatu najua kunawatu wameumizwa but I will back again
Anza kwa kufake kuzimia kwanza..ikiwork out ndo ufake death..Don't just jump into faking a death
 
Hebu niambie umefanyaje kufanikisha huo mpango maana wapo wengine wangependa kufanya kama ulivyo fanya jamaaa
 
Hivi humu Jf hakuna watu wa Mbeya waliohudhuria humo msiba. Yaani jitu linajisifu ujinga!
Ole wako kama umeua mtu mwingine kujifanya ndio wewe!
 
Back
Top Bottom