dada maisha yanaendelelea yeye si Mungu bwana achilia huo mzigo myoni mwako, mpende mwanao, fanya kazi kwa bidii, kama ni kosa lilishafanyika kung'uta fumbi songa mbele mama, yaani bado unamfuatilia tuu hadi fb wanini huyo, kwanza anaonekana bado hajakua kiakili hata angekuwa mume wako ungekuwa...