Waislam wanafundishwa kwamba wakristo ni makafiri na bado mnataka hao wanafunzi wakimaliza religion session wakae pamoja hivi mnaona hapo kutakuwa na amani tena.vilevile dini sasa ivi imeleta mitume feki na manabii feki mfano mzur ni kenya ambapo dini zimegeuka biashara na mtu akijiingiza kwenye...
Nna Miezi mi 4 now ,kuitwa pia ina depend na demand kwa muda huo maana mm nlifanya interview Taesa baada ya siku 1 0 nikaitwa nikafanye Tena interview bank na baada ya wiki nikaitwa nianze kazi kabisa.Kuna mwenzangu wa Zanzibar aliitwa aanze kazi baada ya siku 3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.