Je, ulitumia uongo gani kumpata demu?

Je, ulitumia uongo gani kumpata demu?

janamke fulani hivi shankupe lililoshindikana! nikaona hili bili itifaki za mzee faki silipati! halahala kama kikaangio cha chapati..

nilivyomshenzi wa tabia baada yakupata namba yake nikaanza kujisifu kuwa mimi ni fundi chupi!, mwanaume hasidi niliefundwa kwenye unyago wakinyamwezi! sio tu kwamba ni mbobezi wakukobea bali pia ni fundi wakuchelewesha!..
kama ni mpira basi mimi ni namba ile chafu ambayo ushindi lazima upatikane kwangu!,nikajitapa kuwa mimi ndie msubiriaji nisiekojoa kabla hajakojoa!..
si akadata siku yatukio ilikuwa ni tako tatu wazungu chwaa!.. shangingi hana shipa la siri siitwi tena fundi wakuchelewesha bali fundi chwaa!

Mbavu zangu
 
Mlokole wa muda ili tu nimnase yule dada wa kilokole aliyejifanya ana msimamo wa kilokole. Alijaa kwenye 18 na nilibehave kama husband material ili nipewe tunda na kweli nilipewa tunda tena na tena na tena dada akijua kapata mume kumbe ni KATAA NDOA pure
 
janamke fulani hivi shankupe lililoshindikana! nikaona hili bili itifaki za mzee faki silipati! halahala kama kikaangio cha chapati..

nilivyomshenzi wa tabia baada yakupata namba yake nikaanza kujisifu kuwa mimi ni fundi chupi!, mwanaume hasidi niliefundwa kwenye unyago wakinyamwezi! sio tu kwamba ni mbobezi wakukobea bali pia ni fundi wakuchelewesha!..
kama ni mpira basi mimi ni namba ile chafu ambayo ushindi lazima upatikane kwangu!,nikajitapa kuwa mimi ndie msubiriaji nisiekojoa kabla hajakojoa!..
si akadata siku yatukio ilikuwa ni tako tatu wazungu chwaa!.. shangingi hana shipa la siri siitwi tena fundi wakuchelewesha bali fundi chwaa!
Hahaha umefanya nimecheka kwa ghafla Hadi wife aliyekuwa anafua nguo za watoto kaja kuchungulia kuna nini (nikahamia political forum faster).
 
Time ni jobless Niliwai kumdanganya mtoto wa mkuu wa magereza mkoa fulani kuwa Mimi ni afisa Kipenyo na nipo pale kumsaili aingie Ukipenyonini (Tayari nilikuwa na taarifa za kijasusi kuhusu yeye kutafutiwa nafasi ya huko Utissini) hivyo basi nikawa namuandikisha barua kabisa tuliandika barua zaidi ya 20 na kila akija kuandika barua ilikuwa lzm nimbandue mwisho wa siku Niliishia kumpa mimba na akagundua kuwa Mimi sikuwa kipenyo akalia saana (Baadae aliingia Ukipenyoni kweli kwa juhudi za mzee wake)


Wa pili huyu alikuwa ni fresh graduate wa chuo Education huyu binti alikuwa na maisha magumu saana but alikuwa na akili saana shuleni way back hivyo basi nikagundua shauku yake ya kupata ajira nikaingia pia na taizi ya kujifanya kipenyo na nipo kwa ajiri yake kumsahili kama kawaida nikaishia kumpa mimba ikapita miaka 3 ya kupotezana (Nilienda kusomea fani baada ya kupata mchango) Nilivyorudi nikamkuta bado Ana life gumu na Ana mtoto wetu wa miaka 2 nikamtafutia shule awe anafundisha (Niliwai kuelezea huko nyuma kuhusu kumtafutia mzazi mwenzangu kazi yenye mshahara wa laki 5 alafu mama yake akawa anataka ajengewe nyumba kubwa kwa mshahara huo) baada ya kuona laki 5 hamtoshi nikapiganisha akapata kazi IRC now Ana maisha safi saana hata mwaka Jana alinipa zawadi 20 million


Nimewadanganya saana Mabinti wa uhamiaji TRA polisi na kuwabanjua kwa njia hii hawa wenyewe nilikuwa nawaambia nitawasaidia kupata vyeo makazini

Kwann nilikuwa nawadanganya uongo wa mm kuwa kipenyo
●Shemeji yangu mmoja ni RCO kwa sasa ni mstaafu huyu alifanya nijue tabia za kipekee za vipenyo(mahiri)
●Niliwai kupata kitambulisho bandia (kuna mtu alichongesha kitambulisho akajifanya kipenyo alafu akashikwa) sasa kile kitambulisho mm nikachukua nikaweka picha yangu (hili kosa nilifanya time Nina miaka 16) nikawa nakitumia mpaka shule kutishia walimu (wanangu wa Alliance sec wanajua)


NOTE
Uongo ni risk saana hasa wa kughushi nyaraka za serikali unaweza jikuta unaenda jera kisa demu tu
 
Time ni jobless Niliwai kumdanganya mtoto wa mkuu wa magereza mkoa fulani kuwa Mimi ni afisa Kipenyo na nipo pale kumsaili aingie Ukipenyonini (Tayari nilikuwa na taarifa za kijasusi kuhusu yeye kutafutiwa nafasi ya huko Utissini) hivyo basi nikawa namuandikisha barua kabisa tuliandika barua zaidi ya 20 na kila akija kuandika barua ilikuwa lzm nimbandue mwisho wa siku Niliishia kumpa mimba na akagundua kuwa Mimi sikuwa kipenyo akalia saana (Baadae aliingia Ukipenyoni kweli kwa juhudi za mzee wake)


Wa pili huyu alikuwa ni fresh graduate wa chuo Education huyu binti alikuwa na maisha magumu saana but alikuwa na akili saana shuleni way back hivyo basi nikagundua shauku yake ya kupata ajira nikaingia pia na taizi ya kujifanya kipenyo na nipo kwa ajiri yake kumsahili kama kawaida nikaishia kumpa mimba ikapita miaka 3 ya kupotezana (Nilienda kusomea fani baada ya kupata mchango) Nilivyorudi nikamkuta bado Ana life gumu na Ana mtoto wetu wa miaka 2 nikamtafutia shule awe anafundisha (Niliwai kuelezea huko nyuma kuhusu kumtafutia mzazi mwenzangu kazi yenye mshahara wa laki 5 alafu mama yake akawa anataka ajengewe nyumba kubwa kwa mshahara huo) baada ya kuona laki 5 hamtoshi nikapiganisha akapata kazi IRC now Ana maisha safi saana hata mwaka Jana alinipa zawadi 20 million


Nimewadanganya saana Mabinti wa uhamiaji TRA polisi na kuwabanjua kwa njia hii hawa wenyewe nilikuwa nawaambia nitawasaidia kupata vyeo makazini

Kwann nilikuwa nawadanganya uongo wa mm kuwa kipenyo
●Shemeji yangu mmoja ni RCO kwa sasa ni mstaafu huyu alifanya nijue tabia za kipekee za vipenyo(mahiri)
●Niliwai kupata kitambulisho bandia (kuna mtu alichongesha kitambulisho akajifanya kipenyo alafu akashikwa) sasa kile kitambulisho mm nikachukua nikaweka picha yangu (hili kosa nilifanya time Nina miaka 16) nikawa nakitumia mpaka shule kutishia walimu (wanangu wa Alliance sec wanajua)


NOTE
Uongo ni risk saana hasa wa kughushi nyaraka za serikali unaweza jikuta unaenda jera kisa demu tu
Mbwa ww nishakujua
 
janamke fulani hivi shankupe lililoshindikana! nikaona hili bili itifaki za mzee faki silipati! halahala kama kikaangio cha chapati..

nilivyomshenzi wa tabia baada yakupata namba yake nikaanza kujisifu kuwa mimi ni fundi chupi!, mwanaume hasidi niliefundwa kwenye unyago wakinyamwezi! sio tu kwamba ni mbobezi wakukobea bali pia ni fundi wakuchelewesha!..
kama ni mpira basi mimi ni namba ile chafu ambayo ushindi lazima upatikane kwangu!,nikajitapa kuwa mimi ndie msubiriaji nisiekojoa kabla hajakojoa!..
si akadata siku yatukio ilikuwa ni tako tatu wazungu chwaa!.. shangingi hana shipa la siri siitwi tena fundi wakuchelewesha bali fundi chwaa!

Ila kaka Kenzy
 
Time ni jobless Niliwai kumdanganya mtoto wa mkuu wa magereza mkoa fulani kuwa Mimi ni afisa Kipenyo na nipo pale kumsaili aingie Ukipenyonini (Tayari nilikuwa na taarifa za kijasusi kuhusu yeye kutafutiwa nafasi ya huko Utissini) hivyo basi nikawa namuandikisha barua kabisa tuliandika barua zaidi ya 20 na kila akija kuandika barua ilikuwa lzm nimbandue mwisho wa siku Niliishia kumpa mimba na akagundua kuwa Mimi sikuwa kipenyo akalia saana (Baadae aliingia Ukipenyoni kweli kwa juhudi za mzee wake)


Wa pili huyu alikuwa ni fresh graduate wa chuo Education huyu binti alikuwa na maisha magumu saana but alikuwa na akili saana shuleni way back hivyo basi nikagundua shauku yake ya kupata ajira nikaingia pia na taizi ya kujifanya kipenyo na nipo kwa ajiri yake kumsahili kama kawaida nikaishia kumpa mimba ikapita miaka 3 ya kupotezana (Nilienda kusomea fani baada ya kupata mchango) Nilivyorudi nikamkuta bado Ana life gumu na Ana mtoto wetu wa miaka 2 nikamtafutia shule awe anafundisha (Niliwai kuelezea huko nyuma kuhusu kumtafutia mzazi mwenzangu kazi yenye mshahara wa laki 5 alafu mama yake akawa anataka ajengewe nyumba kubwa kwa mshahara huo) baada ya kuona laki 5 hamtoshi nikapiganisha akapata kazi IRC now Ana maisha safi saana hata mwaka Jana alinipa zawadi 20 million


Nimewadanganya saana Mabinti wa uhamiaji TRA polisi na kuwabanjua kwa njia hii hawa wenyewe nilikuwa nawaambia nitawasaidia kupata vyeo makazini

Kwann nilikuwa nawadanganya uongo wa mm kuwa kipenyo
●Shemeji yangu mmoja ni RCO kwa sasa ni mstaafu huyu alifanya nijue tabia za kipekee za vipenyo(mahiri)
●Niliwai kupata kitambulisho bandia (kuna mtu alichongesha kitambulisho akajifanya kipenyo alafu akashikwa) sasa kile kitambulisho mm nikachukua nikaweka picha yangu (hili kosa nilifanya time Nina miaka 16) nikawa nakitumia mpaka shule kutishia walimu (wanangu wa Alliance sec wanajua)


NOTE
Uongo ni risk saana hasa wa kughushi nyaraka za serikali unaweza jikuta unaenda jera kisa demu tu
we fala kama hisia zangu ziko sawa basi nimekujua hahahahah!
 
Njemba nilisema mimi senior na miaka sate samthing hivi ili nimpate byurifoo ambae alisema hadate na watoto wadogo

Kufika kwenye mkutano wa kwanza kumbe tulikutana wote mawinga wa kariakoo nayeye kanichapa kamba 28 kumbe simba jike anakimbiza 35 au 37 hivi

Nikataka nicash out mkeka nashangaa mama ndo ameshaelewa mazima na mimi ndo nataka kutoroka


Alooo hakuna kitu kigumu kama kumtoroka mtu mzima 😁😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom