Wakuu karibuni nauza mchele super kabisa kutoka mbeya kyela,kwa bei ya tsh 2000/kg na tsh 2200/kg nakuletea popote ndani ya dar kuanzia kg 50.
Napatikana msasani karibu na msaani shopping mall or ubalozi wa marekani.
Ukihitaji nicheck kwa namba 0685 993 994.
Asante karibuni
wanatoka povuu jingi wakati furaha zipo nyingi sana, hao walioolewa mbona naona wanalia kila siku. Watu wanaishi ishi hawajielewi ndoa ni za vizazi vilivyopita now days hakuna ndoa bali kuna maigizo ya ndoa.
Kama ninauwezo wangu mwenyewe unadhani kwa nini nikanyanyasike na mijitu isiyo na utu...
Duuh wanaume tuoneeni huruma jamani mtatuua kwa presha
Pole sana dear, ila cha muhimu ni bora ukajitenga kabisa na hawa watu, kaa mbali nao.
Mungu akupe nguvu na mwanga wa kutatua hili AMEN
Hivi ni kwa nini mnaolewa huku starehe bado mnazipendaa???
Huyo mumeo akirudi hata roho haikuumi hata kidogo?
Ifike mahali tumweshimu Mungu alie waunganishaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.