Wanawake wa aina hii wanakera, wanakwaza

Status
Not open for further replies.

Mavindozii

JF-Expert Member
Oct 20, 2012
2,111
2,781
IMwanamke analeta chakula mezani vizuri wakati mnaanza kula yeye yuko busy na kuchati ,mkono mmoja uko kwenye screen ya phone Na mwingine ndio anakula nao ugali kwa samaki na maziwa kinachokera na kunikwaza ni hizi sauti za delivery or receiving sms ,kila saa visauti .vimlio vya kila aina .Nimeamua badala ya kukaa dining table niwe nakaa front porch ,help my self .kuliko kukaa dinning table na mtu ambaye mawazo yake hayapo pale ,sijui akili zao zikoje zinafikiria negative ,that is worse behavior ,halafu unakuta wanachat crap stuff that's worse part .Yaani kuja kushika hizi smartphone uzeeni ni janga la kitaifa kwa wale wanaozitumia vibaya ,Mbaya zaidi hawakufundishwa na wazazi maana kulikuwa hakukuwa na smartphone ,Cha kushangaza hata kama ni mtu mzima huna hata vichembembe vya akili kwenye brain vilivyobaki kujua wakati mko dinning table ni mahali pa kuheshimu kama vile mko msikitini au kanisani au kwenye funeral home, lazima mzime simu Au kutoa basi sauti .Mnakera sana .That's is a bull shit.UKIMWAMBIA ACHA SIMU ANAVUTA MDOMO MPAKA CHINI NA KUZIRAA WAKUU WANGU :(
 
Mimi nikiambiwa kitu natii. Sasa hao wake zao sijui ni pasua kichwa au hawaambii..wanakuja kulalamika huku. Mwambie uone kama ataendelea then ndio uone kama ni tatizo au vipi.
tatizo wengine wanaongea kama mammc wa sherehe yaani hapumziki, haweki kituo na kulalama juu..
inafaa mwanaume atoe kauli moja tu tena akionesha kumaanisha na kukaa kimya kuobserve
 
tatizo wengine wanaongea kama mammc wa sherehe yaani hapumziki, haweki kituo na kulalama juu..
inafaa mwanaume atoe kauli moja tu tena akionesha kumaanisha na kukaa kimya kuobserve
Hiyo issue ni simple sana. Anyway...pole kwa mtoa mada lakini hilo tatizo lipo ndani ya uwezo wake.
 
hautakiwi kuzila au kumkatia tamaa mtu unayeish naye,hakuna mahusiano yako perfect,jua hvyo ni vtu ambavyo unatakiwa kuvirekebisha.Sasa mtu anafanya kosa humwambii atajuaje sasa? badala ya kuhama na kwenda kula chakula sehem nyingine,ungemwambia tuu hyo tabia sio nzuri na huipendi.
 
Watu hawasomi vizuri nyuzi , mkuu kasema hapo kuwa akiambiwa anasusa anavuta mdomo means anaambiwa.

Mleta uzi kuna baadhi ya watu wanapenda kufundishwa kwa vitendo, life ni fupi sana kuanza kupewa na stress na ambaye alitakiwa kukupa raha.
 
Usipomwambia haitajusaidia wewe hii post badala yake itasaidia wengine,maana nahisi huyo mkeo hata JF haijui kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom