Mke wangu ananishangaza sana

Mke wangu ananishangaza sana

Hisia tu ndio zikufanye uwaze yote haya. Kulipiza ndio solution ama. Dunia kwa sasa nadhani si mahali salama pa kuishi.
 
Uko vzr mkuu.
Onyo; usimnyanyase kijinsi.
Eti ukigundua nawe unacheat.

Bro!Before you embark on the journey of revenge,you better dig two graves.

Mwanaume anamkanya mwanamke wake kwa mamlaka na kujiamini co kunyatanyata na kuvizia.
 
Umeskia anasema mkewe huwa hajibu sms zake mpaka saa tano usiku lakini huwa online that means anakupuuzia na tayari hana interest na wewe tena,Yaani una mtext saa 6 mchana anakuchunia mpaka usiku halafu unasema yupo bize??
Hapo hamna kitu
 
Jee hio sms zako zinafika kwa wakati isijekuwa zinadhuiliwa hewani na Tigo. Halafu kwanini usimwabie mwenyewe hapa kuna wazinzi watakwambia kachepuke. Wanaume wa mikowani wanashindwa hata kuwauliza wake zao.

Baba amka wajanja wanakukanyagia hao,kuna mtu anaemfikicha vizuri,tafuta suluhu lkn usichipuke
 
He he he !! Mkulu nimecheka kinafki!! Ati hii ni taarifa au wataka ushauri khaaa! Jamani mkeo wako mwenyewe wataka siye tukusemee loh! Mchepukaji utamjua tu! Weee kachepuuuuukeeee usisahau tu kutumia zana! Khaaa!!
 
Unakumbuka lakini kuwa kuna wakati unaweza kutumia hiyo whatsup, na 'usipotoka' utabaki kuonekana online hata usiku kucha?

Duuh...eti uta-cheat mpaka atashangaa.....wee bwana wewe....aisee....
Hahaha anamtishia mtu mzima nyau
 
Da soma

Na subiria mtihani huku tupo watu ambao tumeshapiga hatua kubwa ya shule soma dogo haya huku tuachie sisi
Hatua yangu ya shule unajua ni hatua ngapi?? Hahaha walosoma awawezi kuwa na ufinyu wa fikra kiasi km chako na handouts hazikufanyi kuwa na upana wa mawazo kitaa
 
Nilipata uhamisho wa kikazi kama mwaka hivi hivyo nakaa wilaya tofauti na mke wangu ila naenda nyumbani mara mbili kwa mwezi tuna watoto wawili ila nachoshangazawa nae nikimtumua msg whatsp huchelewa kujibu while yuko hewani mfano jana nilimtumia msg whatsp saa mbili hakujibu mpaka leo na alikuwa online mpaka saa tano usiku sasa najiuliza huwa anachati na nani
Sasa nataka nimfanyie uspy wa kutisha ili nijue na mimi nianze kuchepuka au la na kuna mfanyakazi mwenzie huwa naona wanawasiliana sana kwa simu nikikagua cm yake na yeye huwa anamponda sana huyo jamaa mpaka nashindwa elewa sasa nikigundua mchezo nitachet mpaka atashangaaa
kuwa online sio ishu, ishu n je anazifungua na kusoma izo sms halafu anakausha au
 
Back
Top Bottom