kweli hili suala ni muhimu sana hawa viongizi inabidi wajue mipaka yao, niliona pia kuna mbunge mmoja anamfokea mganga wa kituo cha afya fulani kwenye jambo ambalo kiuhalisia hajui taratibu za hospitali na hana health industry expertise kuhusu lile jambo , na tena akatoa na maelekezo😂😂😂, sasa...
siku ndugu au jamaa yako wa karibu, akitoweka na alikuja kuchukuliwa na vyombo hivyo vya usalama, asionekane tena na usipate ufafanuzi kutoka vyombo hivyo, apo tutaongea lugha moja
shida ni kwamba wanazima kabisa internet nazani ata kuwasha hiyo Roamless app bado itahitaji itumie bando ili ifanye kazi.
Apa nafikiria kuna satelite internet providers wa Tanzania nawafahamu ila sijajua kama kipindi hiki zilikua zinafanya kazi au na wenyewe ndo wapo controlled na Gavoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.