Recent content by Mnyatiaji

  1. Mnyatiaji

    Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    vaa pendezaaa….. twende disko cheza HINT: Hip Hop
  2. Mnyatiaji

    Nahitaji ushauri wenu kwa biashara ya usafi /kukusanya taka

    mkuu naomba msaada wako kwa hili tuwasiliane
  3. Mnyatiaji

    Mbunge wa viti maalumu ana majukumu gani kwenye Jimbo

    kweli hili suala ni muhimu sana hawa viongizi inabidi wajue mipaka yao, niliona pia kuna mbunge mmoja anamfokea mganga wa kituo cha afya fulani kwenye jambo ambalo kiuhalisia hajui taratibu za hospitali na hana health industry expertise kuhusu lile jambo , na tena akatoa na maelekezo😂😂😂, sasa...
  4. Mnyatiaji

    Huu ni ugonjwa gani? Maana dawa zote zimedunda

    bila shaka hii ni pumu ya ngozi acha kutumia dawa kiholela nenda hospitali waambie unataka kuonana na daktari wa ngozi (dermatologist) atakusaidia
  5. Mnyatiaji

    Naomba kujuzwa bei ya Fuso Tandam

    uzi ulikua mtamu basi tu
  6. Mnyatiaji

    PostGE2025 Nawashauri Wajumbe wa Tume ya Maridhiano walioteuliwa na Serikali wakatae uteuzi au wajiuzulu.

    siku ndugu au jamaa yako wa karibu, akitoweka na alikuja kuchukuliwa na vyombo hivyo vya usalama, asionekane tena na usipate ufafanuzi kutoka vyombo hivyo, apo tutaongea lugha moja
  7. Mnyatiaji

    Hii Ndiyo Ilikuwa Msaada na VPN Haikuwa Msaada?

    kimfano ukanunua ukavuka nayo tz kwa magendo ukaanza kutumia, there is any way tcra to detect you?
  8. Mnyatiaji

    Hii Ndiyo Ilikuwa Msaada na VPN Haikuwa Msaada?

    tupe hints mkuu next time tukae kimkao kabisa
  9. Mnyatiaji

    Mjadala huru: Ikitokea mtandao umezimwa vile tunapaswa kufanya nini?

    shida ni kwamba wanazima kabisa internet nazani ata kuwasha hiyo Roamless app bado itahitaji itumie bando ili ifanye kazi. Apa nafikiria kuna satelite internet providers wa Tanzania nawafahamu ila sijajua kama kipindi hiki zilikua zinafanya kazi au na wenyewe ndo wapo controlled na Gavoo
  10. Mnyatiaji

    Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

    hizi ramli za JF 😂😂, ngoja tukae kama observers wa berlin conference wakati kukiwa na scramble for na partition ya majimbo
Back
Top Bottom