Mkuu gharama za kumaintain fuso zinakuwa kubwa kuliko kipisi (mende)?Kwa sasa kununua fuso single engine 15 iliyosimama bei ni kama 80 hadi 90+ kuipeleka garage kuirekebisha kila kitu ni kama 15 hadi 20 M.
Sasa mimi binafsi kwa maoni yangu huwa ninaumia sana nikiona mtu anapiga hesabu katika ulimwengu wa sasa kwenda kuchonga tandam kwani naziona kibiashara hazifai.
Ni bora hiyo 100M+ niiweke kwenye scania mende ambapo;
1. Nitabeba mzigo mkubwa zaidi(hadi 23tons)
2. Gari inadumu
3. Maintenance cost chini
Ukilinganisha na fuso. Lakini kila mtu ana machaguo na mapendrkezo yake