Serikali ya kibashite, sijui hawa mawaziri wanatumia nini kulewea. Mmoja juzi kaja na vyeti (yule hakujipanga). Huyu atakuwa kaagizwa atafute sababu ya serikali kutopandisha madaraja, hivi hizo taasisi za kutoa mafunzo kwa watumishi wote wa umma zitatosha na hizo pesa zitatoka wapi ikiwa pesa tu...
Ndio kazi yao hiyo na wanatumwa sana kuifanya na maisha yao yote kizani, ndio maana unamuona mshamba mshamba hajazoea maisha kwenye mwanga waungwana wanaishi vipi.
Vijana wa CCM msikimbie shule, kwa kutegemea kufoji vyeti. Sheria ni taaluma na kuitafsiri watu wanakaa darasani kuisoma kwa miaka 4+ na sio bla bla mnazozifanya ndani ya chama na ndio maana wakuu wenu kila siku wanaaibika kwa kukosea step wakati wa kusingizia watu kesi na kushindwa kipuuzi...
Kwani sera gani ya Chadema au kifungu gani cha katiba yake kinasema lengo la Chama ni kutafuta kuaminika na hao "wazungu" unaosema? Hii ni nchi ya wazungu? Vijana wa CCM kwanini hampendi shule? Ona sasa jitu karne hii hapa bado linaamini kuwa mzungu ndio utu na kila kitu, peleka na mkeo kwa...
Lazima unasaidiana na Bashite kupooza dushe ya basha mkuu inapopata hasira. Bunge live limepigwa marufuku utamuona wapi sasa anaongelea jimbo lake? Kweli IRAMBA hasara wanayo, mbunge wa Iramba si unamjua?
Kuna mwingine anajifungia na "bwege mkuu" hadi saa saba za usiku ndio maana hajataja. Bwege mkuu hatumii dushe ya mtu anatumia yake, sasa amtaje punga wake aone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.