Recent content by mnyalutanananene

  1. mnyalutanananene

    Mrejesho 2: Nimempa mimba mwanafunzi mwenzangu

    Siyo mbaya maana hiyo nayo ni moja ya kipimo cha kukujulisha kua upo feet.
  2. mnyalutanananene

    Ushuhuda: Kila mtu aeleze Bangi Ilivyomsaidia

    Hahaaaaaaa inawezekana tunafahamiana maama mimi naishi kwa Wagumu na hapo uwanjani KITU KIPYA CAMP ndo mitaa yetu.
  3. mnyalutanananene

    Ushuhuda: Kila mtu aeleze Bangi Ilivyomsaidia

    Hahaaaaaa barakuda mitaa gani hapo au mpaka kule maghorofa ya sigala pale uwanjani? Aisee kuna bangi tamu sana pale uwanjani
  4. mnyalutanananene

    Bikra yampa zali la kwenda Marekani

    Hizo laki labda za watoto wachanga
  5. mnyalutanananene

    Bikra yampa zali la kwenda Marekani

    Leo umekutana nazo ngapi na zikiwa zinaelekea wapi?
  6. mnyalutanananene

    Bikra yampa zali la kwenda Marekani

    Dah ww noma mpaka ukague ina maana huwa huitembelei kila siku kuikagua?
  7. mnyalutanananene

    Kati ya mdogo wa marehemu mke wangu na mchepuko wangu nimuoe nani?

    Kama ni kweli ulikuwa na nia ya kuomba ushauri hapa jf nina uhakika kwa ushau uliotewa na wanajf ni wa kutosha sana angalia wengi wanavyolaani mchepuko halafu baada ya hapo unatakiwa ukaoe mdogo wa marehemu kwa sababu kuu ya kulea watoto wa dada yake .
  8. mnyalutanananene

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Huyo mwanamke anaonekana dhahiri ana wanaume wawili halafubado mtaka suluhu tena?
  9. mnyalutanananene

    Uwezo wa Zembwela

    Ni kweli kabisa.
  10. mnyalutanananene

    Ma house girl wa kisasa ni shida...

    Yes nimesoma comment moja baada ya nyingine aisee wengi wana roho mbaya sana na hawawezi kukaa na wafanyakazi kabisa. Ndo maana inafikia wakati hawa wadada wa kazi wanafanya mambo ya ajabu majumbani siyo kwa kujitakia na kama kulipa kisas kwa wanayofanyiwa . Na ukishaona mtu anashindwa kukaa na...
  11. mnyalutanananene

    Ma house girl wa kisasa ni shida...

    Kwa kusoma coments hizi zote nimegundua kuwa watu wengi sana wana roho mbaya kwa wasichana wao wa kazi. Yaani ni wachache sana wanakubaliana na ratiba ya mfanyakazi wake hata kama haina madhara kwake na kazi za pale nyumbani. Sasa endeleeni hivyo hivyo wawavunje viuno kiutamu hao watoto wenu...
  12. mnyalutanananene

    Nasikia sehemu kuubwa ya nchi haina umeme sababu kubwa ni mjadala wa ESCROW

    i kweli nipo tabata barakuda umeme ndo umerudi saa 11:20 , mkuu kaa ukijua kuwa ule mjadala bungeni ni aibu kutazamwa na watanzania wote ndo maana wameona isiwe tabu wakazima umeme mpaka kikao kitakapoisha na baada ya kuvurugana ndipo umeme umerudishwa.
Back
Top Bottom