Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

Wewe ulioa mwanamke lakini hukuoa mke...

Kumwacha au kutokumwacha hilo ni juu yako maana tokea mwanzo unaonesha u dhaifu wewe...

Nduguzo walipokushauri ukawapuuzia kwa kuwa ndivyo ulivyo, wapenda kupuuzia...

Hata sisi tukikushauri hapa utatupuuzia tu, mathalani tukikuambia achana na huo mchepuko sidhani kama utaelewa...
 
Ni kweli kabisa wengi wanakosea kuhukumu watu wote kwa kosa la mtu mmoja huyu jamaa alipagawishwa na mvuto wa binti na kwa kweli hakufanya maamuzi ya busara na hakuwa na msimamo alipaswa achunguze mahusiano ya huyo mwanamke na ex wake....na mipaka ilitakiwa iwekwe tangia mwanzo sasa hivi naona mambo yamekuwa msawajiko na yeye anaharibu zaidi kucheat!!
yeah..chezea shombeshombe ww lol..ila hapo kwenye kucheat jamaa ndo anajiharibia zaidi...itaweza kumcost mwenyewe
 
yeah..chezea shombeshombe ww lol..ila hapo kwenye kucheat jamaa ndo anajiharibia zaidi...itaweza kumcost mwenyewe
Jamaa kaona toto la kiarabu hili siliachi liwalo na liwe lol hata kama hajaqualify kitaeleweka mbele kwa mbele..mtu ameolewa mwanzoni akaachika hujiulizi kwanini kwanza??mpaka uingie uuvae mkenge!!
 
Angalia na Imani vzr ya weza kuwa chanzo, japo si lazima make inategemea mtu na mtu!!

Nina mkasa wa bro yangu hapa ni hatare!!
 
Kwanza nakuona umuungwana sana yaani kakiuka makubaliano ya awali ukapotezea na ukaendelea kumlipia karo then kidume mwenye mtoto anaenda ku-visit tu na hakusalimii mbaya zaidi mkeo hakuagi akiwa anaenda kumtembelea mtoto.

Binafsi hata sielewi kama ningevumilia yote hayo...

Bora uachane naye tu lakini usikulupuke kumuoa huyo jirani yako ghafla ghafla sana endelea kuhusiana naye huku unamsoma zaidi isije kuwa ana watoto pia.
 
Pole sana mkuu,kati ya vitu nlivyokuwa nmuomba Mungu visinikute ni kuoa mke mwenye mtoto au mimi kuingia kwenye ndoa nikiwa na mtoto nliyezaa nje ya ndoa!
Kuna changamoto sana ukikutana na situation kama hyo,japo inaweza isiwe direct!
 
always first decision huwa inakuwa muhimu...just thnk critically and decide
 
Machale yangemcheza tangu siku alipofahamishwa kwamba mkewe na mzazi mwenzie huwa wanaenda kumtembelea mtoto wao na kule shuleni walijulikana kama ni family inayoishi pamoja. Na siku aliyowakuta shuleni na jamaa kutomsalimia na kusepa haraka sana ingekuwa ni ya kumfumbua macho tena lakini akapuuzia.

Kwanza nakuona umuungwana sana yaani kakiuka makubaliano ya awali ukapotezea na ukaendelea kumlipia karo then kidume mwenye mtoto anaenda ku-visit tu na hakusalimii mbaya zaidi mkeo hakuagi akiwa anaenda kumtembelea mtoto.

Binafsi hata sielewi kama ningevumilia yote hayo...

Bora uachane naye tu lakini usikulupuke kumuoa huyo jirani yako ghafla ghafla sana endelea kuhusiana naye huku unamsoma zaidi isije kuwa ana watoto pia.
 
duh, ahsante mkuu, mapemaaa ngoja na mimi nichukue maamuzi magumu, mwenzako akinyolewa
 
Na chuchu bado zinaita saa sita kamili na shughuli nyingine nazo kama mma vile lol!.

Jamaa kaona toto la kiarabu hili siliachi liwalo na liwe lol hata kama hajaqualify kitaeleweka mbele kwa mbele..mtu ameolewa mwanzoni akaachika hujiulizi kwanini kwanza??mpaka uingie uuvae mkenge!!
 
piga chini uyo mwarabu pasua kichwa.mm nilishakataaga kuoa mwanamke mwenye mtoto.
 
Back
Top Bottom