Mafua unaweza tumia dawa Moja wapo kati ya izi
Ashienro 10%
Fluban
Noflox Gold
Respostim
Kuhara
Conrivet powder
Noflox Gold
Pia jitaidi kufanya usafi mara Kwa mara maana mafua na kuhara inamaanisha kuku wako wapo kwenye mazingira machafu
Pesa ya kujikumu ni pesa unayo pewa baada ya kurepoti kituo cha kazi maana unakuwa bado auna makazi ya kudumu ivyo itakusaidia wewe kununua mahitaji ya muhimu Kwa kipindi hicho kabla mshahara atujatoka ivyo malipo hayo yanaweza kuwa Kwa siku saba au kumi na nne ivyo 150k*7 au 150k*14 but...
Tuliwa kuongelea hili jambo umu ndani lakini mwisho atukufikia mwafaka Kuna mdau alisema kwamba Kuna maswali yanakuwa na alama kubwa kuliko mengine ivyo ndio maana watu wanapata alama tasa au witiri
Kwa ninavyo jua mtu anaweza ingia kwenye kanzi data endapo ikitokea watu walio fauru oral wapo kumi na Mwajiri anataka watu nane basi wale wawili watabaki kwenye kanzi data ivyo ikitokea nafasi nyingine watachukuliwa ao wali
Lakini ikitokea mme pata alama sawa basi vitu vifuatatavyo vitatumika...
Hapana Mkuu unaweza ingia Oral lakini usiitwe kazini
Lakini walisema mwaka huu watakuja na mfumo wa kujua kama upo kwenye kanzi data au aupo maana watu wengi wanapata ukakasi kuendelea na mchakato wa ajira nyingine wakitegemea kwamba wapi kanzi data mwisho wa siku amna kinacho tokea
Duuh pole Mkuu
Fanya mpango ndugu zako wakutumie ivyo vyeti maana Kuna gari zinazo Fanya safari za usiku ivyo wakitutumia kesho asubuhi kabisa unakipata kisha unafanya Usahili Mkuu
Maana uwezi jua nini kitatokea aya mambo ya huruma sio kitu Cha kuwa na uhakiaka nacho sana
Mjomba Sina Nia nao mbaya lakini jee unaijua timu yako?
Maana tabia ni kama ngozi ya mwili uwezi ibadirisha mjomba
Mtoto wa nyoka afundishi kuuma mjomba
Ukicheka na nyani utavuna mabua Mjomba
Maskini mtu kwao mjomba ugeni sio kitu chema Mjomba
Kuanza upya sio ujinga mjomba timua wote
Mbwa afi...
Najua kiasi gani umekasirika Mkuu baada ya kusoma comment ya uyo ndugu yetu
Lakini aina haja ya kumuita jina la mnyama maana mnaweza kuanza kutoleana maneno yasio na staha ivyo inatosha kumkumbusha kwamba hii thread ni yamuhimu sana alafu tulikubaliana kama kitu uji ni vyema kukaa kimya maana...
Mkuu usikate tamaa kumbuka oral ni trick sana maana kila mtu anainga kivyake Wewe umejibu hayo mawili lakini Kuna watu awajajibu ata swali moja ivyo usijishushe thamani
Mwisho kabisa usache kutoa Sadaka na kwenda kwenye nyumba ya ibada kuomba maana Mungu ni wetu sote Mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.