Oral interview customs officer II nimekula za uso

Oral interview customs officer II nimekula za uso

Hakuna tatizo
Basi hakuna interview ngumu hapo

Kwa mfano nikawajibu kuwa benefit ya duty remission kwa customer ambaye ni regular nasisitiza ambaye ni regular ni kwamba ataona thamani anayopewa na kampuni hii itamfanya awe mteja mzuri zaidi na atakuwa balozi mzuri kwa wateja wengine ila remission ifanyike kwa makubaliano kuwa alete wateja wapya kwanza (nmezingatia wanayopenda kuyasikia hao ma boss wanaopigisha usaili)


Ningepata au ningekosea?
 
Basi hakuna interview ngumu hapo

Kwa mfano nikawajibu kuwa benefit ya duty remission kwa customer ambaye ni regular nasisitiza ambaye ni regular ni kwamba ataona thamani anayopewa na kampuni hii itamfanya awe mteja mzuri zaidi na atakuwa balozi mzuri kwa wateja wengine ila remission ifanyike kwa makubaliano kuwa alete wateja wapya kwanza (nmezingatia wanayopenda kuyasikia hao ma boss wanaopigisha usaili)


Ningepata au ningekosea?
Ungekosa ila kikubwa ungekua umeattempt swali
 
Wanakupa vi misamiati vya ajabu au vya kitaaluma ambavyo laiti ukienda kutafuta maana yake utajiona bonge moja la pimbi, poleni sana.
 
Wanakupa vi misamiati vya ajabu au vya kitaaluma ambavyo laiti ukienda kutafuta maana yake utajiona bonge la moja pimbi, poleni sana.
Ukipewa msamiati ambao huujui unawaomba ufafanuzi wa huo msamiati

Kisha wakikukatalia wakakuambia uondoke unawauliza kwa upole kuwa

Je ni sahihi kumhukumu mtanzania kuwa hana vigezo vya kufanya kazi kisa hajui msamiati mmoja wa kiingereza? Ambao amekuomba umfafanulie ?

Lazima watakubakisha
 
Interview za serikali ukiulizwa swali usiseme hujui au ukakaa kimya,bora ujibu hata kama ukikosa kuna namna nyingine huwa wanaangalia namna ya kuadjust marks
Kaka sikuacha swali coz najua side effects zake, hakuna swali ambalo niliacha aisee ila maswali mengi yilikuwa ni ya ufikiri?
 
Hii mitihani ya oral ambayo malecture/NBAA sio mchezo majority kila mtu kuna sehem kala za uso.Kuna mtu alifanya vizuri written alipata 97 kaenda oral kumuuliza anasema aliyoyakuta hakutegemea yaan ni maswali ambayo hakutarajia ni kuomba tu Mungu
Jamaa wanakuuliza huku wanacheka ulianza kujibu wanaondoa sura za kucheka wanakaza macho kukusikiliza
 
Wazee at my age nimeshahudhuria interview nyingi za oral na written, ila ya leo wazee nisiwe muongo nimeshikwa pabaya, kama kawaida yangu nilijiandaa vya kutosha na nikahakikisha niko nondo, nikijua kuwa naenda kwenye interview ya oral na kawaida huanza na swali la introduce your self,

Ila nikakutana na benefits of duty remission 🤣🤣🤣, mpaka hapo nikawa nje ya mchezo, anza kujiuliza kwa hiyo leo swali letu pendwa halipo?? Huku unaumiza kichwa kutafuta hizo points za duty remission, unasema likitoka hili litakalokuja lazima ni-equalize,...

Hee kinaingia chuma tena cha moto kuliko cha kwanza, Wazee yani katika maswali saba just maswali mawili ndio nimetembea with full of confidence,... Sijawahi toka usahili wa oral nikiwa natetemeka na sina matumaini,..... Hebu candidates wenzangu wa custom officer niambieni kama macho yamenitoka peke yangu
WASOMI HI!
 
Daaah,pole sana ila swali lilikua rahisi mno mkuu sema labda ulipanic,ungeijua tafsiri ya hiyo duty remission tu ulikua umetoboa,sio mbaya ndio kujifunza kwenyewe huko
By The way duty remission nilikuwa naifahamu na nilikuwa naiona kama term tuu, katika kitabu cha NBAA wameidefine na maelezo machache kama za two lines, ila sasa ukiwa under room temperature unashtukizwa uanze kutafuta advantages zake, aisee jamaa waliniweza halafu hilo swali nilijibu ila points za kutafuta huku unatetemeka
 
Interview za serikali ukiulizwa swali usiseme hujui au ukakaa kimya,bora ujibu hata kama ukikosa kuna namna nyingine huwa wanaangalia namna ya kuadjust marks
Kaka inafika mahali kwenye hilo swali point haziji kila ukitafakari mtu unaona bora ukubali yaishe hapo ujaribu swali jingine, mm nashukuru baada ya kuchemka swali moja basi yalio fata niliweza kujibu yote kwahio nilikosa swali moja ambalo kila nikiwaza wapi mkuu..😀
 
Kaka inafika mahali kwenye hilo swali point haziji kila ukitafakari mtu unaona bora ukubali yaishe hapo ujaribu swali jingine, mm nashukuru baada ya kuchemka swali moja basi yalio fata niliweza kujibu yote kwahio nilikosa swali moja ambalo kila nikiwaza wapi mkuu..😀
Tushakuchukua wewe, ondoa wasiwasi
 
Mkuu usikate tamaa kumbuka oral ni trick sana maana kila mtu anainga kivyake Wewe umejibu hayo mawili lakini Kuna watu awajajibu ata swali moja ivyo usijishushe thamani
Mwisho kabisa usache kutoa Sadaka na kwenda kwenye nyumba ya ibada kuomba maana Mungu ni wetu sote Mkuu
 
Kaka inafika mahali kwenye hilo swali point haziji kila ukitafakari mtu unaona bora ukubali yaishe hapo ujaribu swali jingine, mm nashukuru baada ya kuchemka swali moja basi yalio fata niliweza kujibu yote kwahio nilikosa swali moja ambalo kila nikiwaza wapi mkuu..😀
Mkuu mambo Vip? Sorry TAA Oral customer service officer waliuliza maswali gani?
 
Back
Top Bottom