Recent content by Mmexico

  1. Mmexico

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tuhuma za rushwa Dkt. Mwanjelwa zimekiaibisha chama

    Hii ya Magufuli aisee, batatoana macho Dodoma
  2. Mmexico

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tuhuma za rushwa Dkt. Mwanjelwa zimekiaibisha chama

    Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo. Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora. Naamini...
  3. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Pride Tanzania: Nani yuko nyuma ya wizi huu

    yani vuruguuuuu
  4. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Orchestra Maquis Original "ogelea piga mbizi" ilivyowatesa Watanzania

    Thanks
  5. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Dkt. Bashiru Ally anafanya mikutano ya hadhara kama nani ?

    Katibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali. Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi. Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa...
  6. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Kumbe Mwigulu bado anahitajika na Magufuli, imeonekana leo

    C.C.M ni Taasisi
  7. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Kwa faida hizi za mabenki, uchumi uko imara

    ndo namna pekee ya wao kupata faida.
  8. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Kwa faida hizi za mabenki, uchumi uko imara

    Nunua gazeti
  9. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Kwa faida hizi za mabenki, uchumi uko imara

    Nyota ya neema imezidi kushukia sekta ya Benki baada ya Mabenki 11 kati ya 12 kutangaza kutengeneza faida mwaka 2019. Ongezeko hilo likitoa picha ya kuimalika kwa Uchumi wa Tanzania ikizingatiwa kuwa Mabenki makubwa yote ya tire one kutangaza kupata faida na kupunguza idadi mikopo isiyolipika ...
  10. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Kondoo na radi

    Damn .... limepigaaa
  11. Mmexico

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Athumani Ally Maumba aliyetikisa miaka ya 1980s kwa kulawiti wanafunzi yupo wapi?

    Dah nimekumbuka mbali sans
  12. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Dunia inamuelewa Rais Magufuli Watalii zaidi ya 700 wakiwa na ndege 3 kutoka Israel wawasili nchini

    Uko sahii upande flani ila juhudi za uongozi madhubuti wa Serikal ya JPM ndo chanzo cha mafajikio hayo. Ukisema kuwepo, Utaulizwa kwanini hawakuwa wakija kwa wingi hivyo awamu zilizopita? Ziada, JPM na serikali yake lipondwa sana alivyoanzisha baadhi ya kodi eg ile ya mahotel ya kitalii. Wajuvyi...
  13. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Rugemalira aamsha mzimu wa Escrow, aomba aachiwe azifuate kwa aliowagawia

    1-Sheria zetu zilitungwa kifisadi na kuacha mianya ya Wezi kushinda kesi kilahisi. Ndo maaana kina Chenge wanatamba kuwa hawafungiki. Kibaya zaidi Bunge limejaa kizazi cha wezi bado so haziwezi badirishwa leo. 2-Majaji wetu.wananunulika kilahis na wenye fedha ndo maana unaona walikumbukwa kwenye...
  14. Mmexico

    JamiiForums Tanzania Familia ya Seretse Khama nchini Botswana kielelezo tosha cha ulevi wa madaraka kwa watoto wa viongozi wa kisiasa Afrika. Tukatae

    Angeamua yeye angekuwa ametukosea, but angeamua mtoto wake au kaka yake na kujijenga vizuri mpaka kukubalika. Isingekuwa Tatizo. Hussein Mwinyi angeamua angeishi kama watoto wengine wa viongozi kula bata na kutoishi maisha yaliyonyooka kujijenga kisiasa. Ila kachagua kuishi kama MTU wa kawaida...
Back
Top Bottom