Mmexico
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 369
- 328
Nyota ya neema imezidi kushukia sekta ya Benki baada ya Mabenki 11 kati ya 12 kutangaza kutengeneza faida mwaka 2019.
Ongezeko hilo likitoa picha ya kuimalika kwa Uchumi wa Tanzania ikizingatiwa kuwa Mabenki makubwa yote ya tire one kutangaza kupata faida na kupunguza idadi mikopo isiyolipika .
NMB toka 97 hadi 148 Bilion
CRDB toka 69 hadi 122 Billion
STANDARD CHARTERED toka 20 hadi 34 Billion
NBC toka 10 hadi 22 Billion
AZANIA BANK toka 5 hadi 12 Billion
DTB toka 15 mpaka 17 Billion
STANBIC toka 16 mpaka 21 billion
POSTAL BANK 12 mpka 16 Billion
KCB 9 hadi 14
Exim toka HASARA mpaka Billion 9
Absa toka 6 hadi 9 Billion
Hili linatoa picha nzuri kwa uchumi wetu na faraja kwa wawekezaji.
Ongezeko hilo likitoa picha ya kuimalika kwa Uchumi wa Tanzania ikizingatiwa kuwa Mabenki makubwa yote ya tire one kutangaza kupata faida na kupunguza idadi mikopo isiyolipika .
NMB toka 97 hadi 148 Bilion
CRDB toka 69 hadi 122 Billion
STANDARD CHARTERED toka 20 hadi 34 Billion
NBC toka 10 hadi 22 Billion
AZANIA BANK toka 5 hadi 12 Billion
DTB toka 15 mpaka 17 Billion
STANBIC toka 16 mpaka 21 billion
POSTAL BANK 12 mpka 16 Billion
KCB 9 hadi 14
Exim toka HASARA mpaka Billion 9
Absa toka 6 hadi 9 Billion
Hili linatoa picha nzuri kwa uchumi wetu na faraja kwa wawekezaji.