Recent content by mmasi jackson

  1. mmasi jackson

    Serikali inawadhihaki wafanyakazi!

    Naunga mkono hoja
  2. mmasi jackson

    Swali, Ni vigezo gani vilitumika kuipa Manispaa ya Arusha hadhi ya jiji?

    Kasi ya maendeleo.biashara mbalimbali zinazoendelea pale na population kwa ujumla...nadhani ni miongoni mwa vigezo vilivyotumika kuipa hadhi
  3. mmasi jackson

    Maajabu katika Shule ya Msingi Manyoni Singida

    Bila shaka kuitaja shule kwa jina lake ni ushahidi tosha kwa asiyeamini anaweza kwenda kutaguta uhakika huko..by the way hali hiyo ipo maeneo mengi haswa ya ukanda wa kati..bila shaka hii inachangiwa na nature ya mazingira na watu wenyewe wa maeneo husika...sometimes siyo lazima kila lawama...
  4. mmasi jackson

    Kwa Wanaume waliooa tu!

    Kugundua kwamba watoto si wake ni ushahidi tosha kwamba mke ni mzinzi
  5. mmasi jackson

    Love bite

    Duuuuh!!!!humu ndani ukija na stress lazima zikate....eti mahaba ni............ni....'haallaaaaah!!!!!!!napita tu....
  6. mmasi jackson

    Msaada kwenye tuta

    Love does not ask why....ukianza kutafuta sababu utapata kichefuchefu bureeee
  7. mmasi jackson

    Ni maoni yako hapa?

    Hakuna ubaya wowote ndugu..wewe kama hufanyi hivyo bado unaishi enzi za ukoloni na,mfumo dume.....
  8. mmasi jackson

    Mambo mengine yana kera kweli hebu cheki hii

    Mi nilikuwa napita tu
  9. mmasi jackson

    Kuku mgeni

    Uuuuuuwiiiiii!!!!!!dunia imevaa sketi
  10. mmasi jackson

    Zijue sifa za mwanamme mwenye wanawake wengi

    Hapa mi mgeni......kwa.mujibu wastatement yako ilivyokaa tafsiri yake ni kwamba wote walioko perfect in thar way wapo na hiyo tabia...kwa mantiki mi nakataa....nina sifa zote isipokuwa namba tatu na sina wanawake wengi...sihongi bali namhudumia mpenzi wangu
  11. mmasi jackson

    Kutoka ndani ya moyo wangu

    Explanation yako imenishawishi sana.kiasi cha kushindwa hata kuongeza neno..mfano mzuri tena wwnye uhai kabisa..mnakundi yote mawilk huwa yapo
  12. mmasi jackson

    Umri gani ni mzuri mtu kuoa ?

    Kwa kuongezea katika hili ni kwamba umri mzuri kwa mwanaume ni kama ulivyotajwa hapo juu ambao kibaiolojia ndio productive period kwa mwanaume na watoto wanaopatikana katika umri huo obviously wanakuwa na uwezo mzuri kiakili..more than that kwa uzao wa kwanza huwa ni majanga matupu
  13. mmasi jackson

    Kabla hujatafuta mchumba; tafakari yafuatayo

    Thax for ur advices.....zimetufungua kiasi fulani kuyajua yale ambayo tunayafuata katika mahusiano poasipo kujua
Back
Top Bottom