amefanikiwa kwepa mda wote uo,sasa iv akigusa tu amenasa.maana inaonesha mwanamke anataka wapate wote.as ad apo swali n mwanamke aliupata wapi?nje ya ndoa?.jibu n ndio.so anataka washee io.akimbie haraka sana
pole sana mkuu,ila kiukweli hapo mkewako unasaidiwa hadi mengine na uyo baba wa zamani,waarabu wanawezana na waarabu wenzao.kama baba yake yupo na shule anaenda kwa nn hamlipii ada mwanae?.mkeo mtaalamu anapiga kona yeye na kichwa anafungwa mwenyewe.pole sana
Picha za ndani nitaatach kesho kwani nipo mkoani na gari ipo dar, Sababu ya kuuza ni kwamba niliinunua kwa ajili ya biashara kwani mkoa nilipokuwa kulikuwa hakuna magari ya kutosha sasa Sumatra wamevikataa kuvisajili so hakuna njia zaidi ya kuuza. Engine ni nzima unaweza kwenda popote Tanzania...
Wakuu habari ya asubuhi? Nina kagari kangu Suzuki Omni ya 2010, ina km 53,000 namba BRS inauzwa bei 6,000,000/= ipo kwenye hali nzuri anayehitaji anipm.
Nomefanya biashara hii Kwa miaka almost miwili, kama biashara zingine ina changamoto zake Kwa eneo nilipo hesabu ni 50,000/ wk changamoto ni kwamba vijana ni waharibifu sana so ninachofanya ni kukaa na pikipiki Kwa mwaka mmoja ukiisha nauza makusanyo yoote nakuuza ninanunua pikipiki mpya na...
Nipo safarini nimekutana na ajali ya gari ya surf ambayo ilikuwa ikitokea Njombe iligonga Fuso uliyokuwa imeharibika barabarani!, mtu mmoja amepoteza maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.